Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Kweli kabisa mkuu lakini utashangaa vijana wa Lumumba buku 7 wataingia hapa na kuanza matusi na yule jamaa naona wamesha msajili na pasco rasmi...
Jamaa gani tena mkuu?
Kweli kabisa mkuu lakini utashangaa vijana wa Lumumba buku 7 wataingia hapa na kuanza matusi na yule jamaa naona wamesha msajili na pasco rasmi...
Masikini vijana wa lumumba wakisikia Lema c.hu zina wapwaya...nipe hoja alishawahi kutoa ya kulikomboa taifa hili tangu awe mbunge, wewe ujui ulichoandika, wewe nenda kaandame zako huko arusha bwana,
Kabisa kamanda...Upo sahihi kamanda,laiti watu wangemjua lema ana dhamira gani,WASINGEMUITA MTU WA FUJO.ANGALIZO-Lema hakuwahi kushindwa kwa analopigania.
Upo sahihi kamanda,laiti watu wangemjua lema ana dhamira gani,WASINGEMUITA MTU WA FUJO.ANGALIZO-Lema hakuwahi kushindwa kwa analopigania.
Muheshimiwa Arusha sasa imekua kama sehemu ambayo hakuna amani ya kimaendeleo kila kukicha
tumekua tunaendelea kusikia mbunge wetu amefanya hivi anafanya vile sasa sijui kama kuna tija ya
kimaendeleo katika masuala tunayoyafanya ,
Katiba ndio hasa itakayotusaidia kufanya mambo haya mengine ya haki ikaeje na kwamba ni nini cha kufanya
jitahidi kupigana kuwe na uwekezaji Arusha ili wananchi tuliokuchagua tuwe na maisha bora ambapo CCM
wameshindwa hili tayari.
Onesha kwamba kura tulizokupa hatukupoteza........
tukutane hapo nje yaani NMC......................................................
nawsilisha.
Lema tumeshamuweka kwenye shortlist ya watu ambao hawatakanyaga tena bungeni baada ya 2015.
Wewe kweli umeshindwa kuona mantiki aliyotoa mtoa mada ama una lako jambo? Hivi mtu mwenye uchungu na nchi hii lazima arudi aishi Tz, mbona kuna mama waziri wa Uingereza alikuwa na uchungu na Tz hata akawa tayari kupoteza cheo chake kwa kusimamia Tz wanarudishiwa ''chenji ya rada'' Acha zako hizo, Kilombero wanatoka ''great thinkers'' unasema nini wee munthu. Unachezea IFOZA.