LEMA mikononi mwa LISSU...

Aisee Mungu atatenda tuu, Lema atarudi tena Arusha, ntafurahije? itakuwa siku njema sana kwetu wana mapinduzi
 
Nimefarijika sana niliposikia kuwa Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu atajiunga na Wakili Msomi Method Kimomogoro kujenga hoja mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa kuonesha mapungufu ya Hukumu ya Jaji Rwakibarila wa Mahakama Kuu. Wakili Lissu ananipa matumaini mapya. Matumaini ya kutendeka haki. Hapa Kimomogoro,hapa Lissu...pataeleweka tu. Wakili Lissu anampigania Lema na haki ya wana-Arusha kuwa Mbunge wao waliomchagua. Viva Mnadhimu Lissu...
wasimuache prof Safari kwenye hii kesi, prof ana magic touch, trust me!, Lisu is the best yes, but he has that sour test to afew judges including Chande.... I would put Prof safari siku yoyote ile kusawazisha bao
 
Lissu anaenda mbele ya jopo la majaji ambalo hana imani nalo!

so anataka wakihukumu kinyume na matarajio yake apate kigezo cha lawama?

kumbuka hata majaji wao wenyewe jana kuna baadhi ya magazeti wamesema kweli kuna majaji wasio na sifa, Hii kitu ya kuwa na baadhi ya majaji wabovu siyo kwamba anayeijua ni Mh.lissu tu hata majaji wao wenyewe wanaifahamu tena zaidi ya Mh.Antipas sema yy ndo aliyetoa shutuma na huku nje mkasikia, angalia mfano enzi za mkapa kulikuwa hakuna shughuli za kila mwaka kuapisha majaji lakini leo mwaweza apishiwa vihiyo mara 3 kwa mwaka,wengine wasichana wadogo hawana hata historia ndefu kwenye hii kazi ya sheria.AIBUUUUUUUUU
 
Kwa hiyo mnataka kusema JK hajui kuchagua Majaji wenye sifa...au wenye sifa wameisha ikabidi achukue na second selections!!
 
Aongezeke na Prof Safari aliyesimamia kesi Igunga nakupata ushindi kikosi kitakuwa kimekamilika.
 
Mbona ambao aliwataja wameondolewa na wambaki wale wenye sifa. Kama wewe ni mfatiliaji mzuri, utakuwa unafahamu kuwa Jaji Mbarouk Salim Mbarouk ni mmojawapo aliyetajwa na Lissu ambaye hakuwa hata na degree moja ameondolewa kusikiliza rufaa ya Lema kama ilivyopangwa awali. Badalayake ameingia Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman ambaye ataungana Majaji wa Mahakama ya rufaa, Natalia Kimaro na Salum Massati ambao wote ni wa ukweli. Lissu hakusema majaji wote ni feki, ukisoma taarifa yake aliyoipeleka bungeni aliwataja wote kwa majina na mapungufu yao. Nashauri wakati mwingine tuache ushabiki wa kitoto.

Safi, nmeipenda hii..... No research, No right to Speak
 
Hukumu ni lini?

Wapi Mabere Marando???? Anatakiwa kuongeza nguvu hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lema anaudi kwa kishindo na yale makato yake kule bungeni anarudishiwa yote. Ni kati ya tarehe 20 na 22 Sept 2012

Mmeshaanza kupiga ramli sio,sasa utashangaa makosa yataongezeka kwa huyu kiwete wa akili.
 
Majaji walioteuliwa ni vichwa. Namkubali mh chande namkubali mh massati. Hapo kati makamanda wa sheria mh Lissu na mwenzake. Viroba vya haki mikononi mwenu.
 
Mbona ambao aliwataja wameondolewa na wambaki wale wenye sifa. Kama wewe ni mfatiliaji mzuri, utakuwa unafahamu kuwa Jaji Mbarouk Salim Mbarouk ni mmojawapo aliyetajwa na Lissu ambaye hakuwa hata na degree moja ameondolewa kusikiliza rufaa ya Lema kama ilivyopangwa awali. Badalayake ameingia Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman ambaye ataungana Majaji wa Mahakama ya rufaa, Natalia Kimaro na Salum Massati ambao wote ni wa ukweli. Lissu hakusema majaji wote ni feki, ukisoma taarifa yake aliyoipeleka bungeni aliwataja wote kwa majina na mapungufu yao. Nashauri wakati mwingine tuache ushabiki wa kitoto.

mmh! ni Masati yule wa Kesi ya Kamanda Zombe??? SIJUI!!!. TAFAKARI
 
mnamsifia chande sana sasa na baada ya hukumu lazima kuwe na maneno mengine. lema akishinda mtamsifia, na akishindwa mtasema wale wale. subirini kwanza msijebadili kauli zenu. ile ni mahakama
 
Ninamwomba Mungu awape hekima ya pekee mawakili hao (Kimomogoro na Lissu) ili hatimaye haki ipatikane, turejeshewe mbunge wetu.
 
Nimefarijika sana niliposikia kuwa Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu atajiunga na Wakili Msomi Method Kimomogoro kujenga hoja mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa kuonesha mapungufu ya Hukumu ya Jaji Rwakibarila wa Mahakama Kuu. Wakili Lissu ananipa matumaini mapya. Matumaini ya kutendeka haki. Hapa Kimomogoro,hapa Lissu...pataeleweka tu. Wakili Lissu anampigania Lema na haki ya wana-Arusha kuwa Mbunge wao waliomchagua. Viva Mnadhimu Lissu...

lakini kwa taarifa zilizopo humu ni kuwa Mh Lisu amefiwa na baba yake Mzazi!
 
Back
Top Bottom