zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
ukishakuwa muoga ni rahisi kufanya shiriki maana hilo ndilo utakaloamini kuwa suluhisho la matatizo yako kwakuwa tu umeogopa kujaribu
Kuogopa nini kuiba au kufanya uhalifu? hayo yote ni haramu na ni dhambi kwa dini zote.