THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
kikwete ataficha wapi uso wake?:behindsofa:
na swahiba wake zitto je??
kikwete ataficha wapi uso wake?:behindsofa:
Anarudi mjengoni kwa mara ya mwisho... 2015 atalisikia kwenye redio na kuliona kwenye TV tu. Shika maneno yangu ingawa yanauma.....
tupe link mkuu umesahau kuiweka,nadhani ni furaha ya ushindi ukipata whisky somewhere!!
ilikuwa haina namna nyingine! Walishikwa pabaya.Vipi, mahakama imetenda haki?
"JMBO LA ARUSHA LINAINYIMA SERIKALI YANGU USINGIZI....HAPANA....HAPANA...LAZIMA TUFANYE KITU PALE....!!! "
Vipi, mahakama imetenda haki?
Mungu awalinde wapigania haki wote hapa nchini.
Justice delayed is justice denied!Vipi, mahakama imetenda haki?