Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!


Kuna tatizo la msingi Mahakama Kuu. Hawa Junior Judges wanaonenakana kuwa highly incompetent na tuhuma za Mh. Tundu Lissu zinazidi kuthibitika. Nashauri wote walioshindwa kesi zao Mahakama Kuu kukata rufaa; sina imani kabisa na Mahakama Kuu yetu bali majaji wachache wa Mahakama ya Rufaa. Haiwezekani mashauri mengi yaliyoshinda Mahakama Kuu kutenguliwa kirahisi namna hii. Mamlaka za Uteuzi wa Majaji zinapaswa kwa kweli kujirekebisha; mhimili wa utoaji haki sio wa kuchezea namna hii. Pongezi kwa Mh. Godbless Lema.

Mkuu hii ni hatari sana kwa mstakabili wa mahakama kuu inabidi kutupia macho sana kwani inawezakupeta amani ya nchi.
 
Msiba mzito kwa Jk,Prezzoo,cobra n Co.
Wapi Arusha one?Njoo huku tusherehekee...

Pro-Chadema bana JK ni rais bora, angalieni Chadema mmeshinda kesi ngapi mahakamani? JK Rais wa nchi hawezi kuingilia uhuru wa mahakama hata siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Leo ni maagizo ya nani? maana alipovuliwa ubunge ilikuwa maagizo ya IKULU....bila ya kuwa mnafiki na mpika majungu huwezi kuwa mwana CHADEMA
Vipi kwani wewe ni masalia au CCM au CHAUMMA?Mbona unatusakama Hivyo na CHADEMA yetu?
 
Kamanda Lema rudi jimboni katimize ahadi zako kwa wapiga kura wako kujenga hospitali pamoja na machinga compelex.

Ndugu Ritz atawezaje kutimiza ahadi kwa muda mfupi alioachiwa kwangu mimi huu ulikuwa mpango wa kumkwamisha asifanye maendeleo kwa wakati. any way hongera mimi nawapa Majaji wa mahakama ya rufaa.
 
Hii hukumu iwe fundisho kwa wale wanaojiita wakereketwa kuingilia mambo yasiyo wahusu kwenda mahakamani kupinga ushindi usiowahusu. Lakini pamoja na hayo nadhani hawa walitumwa na mafisadi kupunguza nguvu ya CDM
lakini wameonja joto ya jiwe na walipe gharama ili watu wa kutumwa wasifanye mzaha tena.:israel:
 
There are currently 1762 users browsing this thread. (850 members and 912 guests)
 
jamani huu ni uvunjifu wa amani hukumu bd mnataka kuwaaminisha watu kuwa mmeshinda ikiwa kinyume iweje?
 
Pro-Chadema bana JK ni rais bora, angalieni Chadema mmeshinda kesi mahakamani? JK Rais wa nchi hawezi kuingilia uhuru wa mahakama hata siku moja.
Tulipokuwa tumelala aliingilia uhuru wa mahakama,tulipoamka kaogopa kuingilia uhuru wa mahakama!!
 
yaani nina uhakika bi kiroboto kachukia sana kwa hukumu hii....hahaaaaa kuhusu taarifa ...hahaa spika naomba muongozo....majaji wangu nashukuru sana kwa zawadi hii ya christmass..Tundu Lissu Antipas wewe utakuja kuvikwa nishani na taifa hili maana taaluma yako inaonyesha njia mwanzo kati mwisho
 
Back
Top Bottom