hii ni dhahiri kuwa haki huchelewa tu wala haipotei kamwe.
Ushindi huu uwe ni chachu ya kuharakisha ukombozi wa pili, uwe ni nuru ya kumulika wasaliti ndani ya chama na vilevile uwe ni fagio la chuma kung'oa wote wasiopenda kuona nchi inanyakuliwa toka kwenye lindi la ufisadi wa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.