Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Mwizi baba wa watu. Ninyi mnataka watu wawapambe hata wabovu kisa mpinzani. Wakati mnanadi kwa ufisadi na kusema mnanyaraka hamkujua hilo.Nani Fisadi? Kwa ushahidi upi? Uko tayari kula ban endapo hutatuwekea ushahidi huo?
Mods ntaomba Ban kwa huyu endapo anachokiita Ufisadi hataweza kuthibitisha!
Ndo Lusinde na akili zake chache tu akasema. Edo bonge na streka. Aliona wanamchafua akahamia kwao.