usimuhukumu mtu kabla ya ww hujahukumiwa; Lema anatuhumiwa tu na Zombi na wala hajakutwa na hatia kuwa u mwizi wa magari!Lema ni Jambazi jamani haya maneno yangu! Mtakuja kuyakubali muda si mrefu! nawashangaa watu Arusha wanakuwa mateka wa mwizi wa magari lazima muwe na Cognition