Washikaji, Mie na jamaangu tumeanzisha Pub hapa Arusha Tumeiita Le Tshentemba Pub sasa tuna siku 10 toka tuanze. Hii ipo Nairobi Rd karibu na Police post na ofisi ya mtendaji kata mkabala na Manyara guest house, inatazamana na Nat Oil Petrol station. Biashara ni ya wastani tu. Tatizo langu bado tu wapya kwa hii biashara, inaonekana pia kwa vile pale awali palikuwa na Night clubs hata sasa wateja wake wanakuja zaidi usiku na leseni yetu ni mpaka saa 6 usiku na kama tukiawazuia mauzo yatashuka saana. Tunafikiria kubadilisha leseni iwe tena night club, ukizingatia uzoefu wetu ni mdogo inatupa tatizo. Wasichana wanachelewa kulala inakua ngumu hata kuchukua stock maana tunafanya kazi pia kumbe ni budi kuwahi kazini. Lakini pia hatuna chumba cha staff! Tunatafuta chumba maeneo ya karibu na pale bado hatujapata.
Kwa wazoefu naomba ushauri wenu kwa mambo yafuatayo;
1. Nifanyeje kuongeza mauzo katika mazingira haya
2. Tupafanye kuwa night club na utaratibu ukoje?
3. Tunawezaje kufunga stock kirahisi asubuhi, na ni lazaima stock ifungwe mida hiyo tu
4. Kama kuna mtu anaweza tusaidia kupata chumba cha staff maeneo hayo kwa bajeti isiyozidi Tzs 50,000.00
Shukrani 0786262635
Kwa wazoefu naomba ushauri wenu kwa mambo yafuatayo;
1. Nifanyeje kuongeza mauzo katika mazingira haya
2. Tupafanye kuwa night club na utaratibu ukoje?
3. Tunawezaje kufunga stock kirahisi asubuhi, na ni lazaima stock ifungwe mida hiyo tu
4. Kama kuna mtu anaweza tusaidia kupata chumba cha staff maeneo hayo kwa bajeti isiyozidi Tzs 50,000.00
Shukrani 0786262635