William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- SALUTE TO BROTHER PASCHAL: Jana by chance tulikutana Saba saba grounds akiwa kazini, in the spirit of JF tukakubaliana ku-team up and do some JF promotion through his connections na PPR TV Stations, tukapewa muda wa ku-promote JF through a long interview; in the process of the act tukakusanya karibu nusu ya wananchi waliokuwepo Uwanjani jana majira ya saa Tisa na Kumi jioni; meaning kwamba kila mmoja wao alipata nafasi ya kuijua JF na huko kwenye kipindi cha hiyo TV station kitaelewekas zaidi pia, it is my hope kwamba Paschal ataweza kuileta video hiyo hapa watakapomaliza kuitumia huko PPR TV Channels ili na wengine waelemike hapa.
- Now Paschal na mimi kwa kawaida hatukubaliani kabisa kiitikadi za siasa na mwenendo wa namna ya mabadiliko, lakini we always respect each other stand bila kugombana wala fitina, he was there when I meat Lowassa at Bunge grounds na he later expressed his shock of the act, lakini we always put our tofauti aside na kuweka JF na TAifa mbele kila tunapokutana;
- PASCHAL RESPECT TO YOU BRO you are a great human being; I AM HUMBLED NA YOUR COMMITMENT TO THE SERIOUS CHANGES FOR OUR NATION, CHARMING AND BOLD; HOPE WENGINE WATAIGA MFANO WAKO WA KUKUBALI KUTOKUBALIANA BILA KUFITINIANA AU KUTAFUTIANA VISA!!
- BY THE WAY: JUZI UWANJA WA TAIFA ALINICHEKESHA SANA MHESHIMIWA MBUNGE WANGU WA MTERA. LUSINDE: ALINIAMBIA "NDUGU ZAKO JF WANASEMA MIMI NDIO NIMEMTEKA DR. ULIMBOKA" HA! HA! HA! HA! HA! HA! HA!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA JF PIA!!
LE MUTUZ BAHARIA BIG SHOOOW!! @ KATA KIVUKONI;DAR CITY!!
- Now Paschal na mimi kwa kawaida hatukubaliani kabisa kiitikadi za siasa na mwenendo wa namna ya mabadiliko, lakini we always respect each other stand bila kugombana wala fitina, he was there when I meat Lowassa at Bunge grounds na he later expressed his shock of the act, lakini we always put our tofauti aside na kuweka JF na TAifa mbele kila tunapokutana;
- PASCHAL RESPECT TO YOU BRO you are a great human being; I AM HUMBLED NA YOUR COMMITMENT TO THE SERIOUS CHANGES FOR OUR NATION, CHARMING AND BOLD; HOPE WENGINE WATAIGA MFANO WAKO WA KUKUBALI KUTOKUBALIANA BILA KUFITINIANA AU KUTAFUTIANA VISA!!
- BY THE WAY: JUZI UWANJA WA TAIFA ALINICHEKESHA SANA MHESHIMIWA MBUNGE WANGU WA MTERA. LUSINDE: ALINIAMBIA "NDUGU ZAKO JF WANASEMA MIMI NDIO NIMEMTEKA DR. ULIMBOKA" HA! HA! HA! HA! HA! HA! HA!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA JF PIA!!
LE MUTUZ BAHARIA BIG SHOOOW!! @ KATA KIVUKONI;DAR CITY!!