Le mutuz kuoa binti mbich aliyezidi miaka 25

Status
Not open for further replies.
saa zingine towage wastaarabu na wenye utu kidogo....hii ishu ni binasfi sana na sijaona km kuna jipya kwa kuwa huyu si wa kwanza kutangaza ndoa, ndoa kila siku zinafungwa na watu wa marika tofautitofauti...kuna uspesho gani kwa huyu? muacheni jamani kwani mwisho wa siku ni jambo la kheri kaamua kuoa...wengine humu kila kukicha wanafuta wa kuwaoa/kuolewa nao na hawapati..so huyu kabahatika kupata mwandani wake na kaamua kumuoa basi TU ACCEPT na kumtakia kila la kheri ktk maisha hayo mapya anayokwenda kuyaanza....!
 
Wala hatuhitaji kadi best, si wanafanyia uwanja wa taifa? Tukaweke kambi pale day b4, wakija wanatukuta. Bwana harusi nahisi atavaa kaptula kwi kwi kwi. Ila seriously mi nampenda sana le mutuz japo hafai kwa matumizi. Unajua nikikaa nae ntakuwa nacheka tu na kusahau shida za dunia? Paw akiona hapa nimekwisha hehehe
he heee...... hata kama uwanja wa Taifa ndo itakuwa kuingia bure? nadhani kutakuwa na card.
ikiwa kuingia bila kadi best mimi sitaenda maana huko kutoka itakuwa kwa kuomba Mungu.
 
Hii ni spesho case bwana. Huyu hata babake mzazi anajua hii ni special event. Pia Huyu ni bongo selebriti, ndo maana mie nikiolewa chuo kipya hakuna mtu ataniweka kwenye blogu.
saa zingine towage wastaarabu na wenye utu kidogo....hii ishu ni binasfi sana na sijaona km kuna jipya kwa kuwa huyu si wa kwanza kutangaza ndoa, ndoa kila siku zinafungwa na watu wa marika tofautitofauti...kuna uspesho gani kwa huyu? muacheni jamani kwani mwisho wa siku ni jambo la kheri kaamua kuoa...wengine humu kila kukicha wanafuta wa kuwaoa/kuolewa nao na hawapati..so huyu kabahatika kupata mwandani wake na kaamua kumuoa basi TU ACCEPT na kumtakia kila la kheri ktk maisha hayo mapya anayokwenda kuyaanza....!
 
Tutatoka tu bwana. Tunawahi wakati wanafyagia na kila mtu atajua sie wanakamati. Acha uoga best, umbeya wa mjini unataka commitment. Ndo maana ushamba haukuishi
he heee...... hata kama uwanja wa Taifa ndo itakuwa kuingia bure? nadhani kutakuwa na card.
ikiwa kuingia bila kadi best mimi sitaenda maana huko kutoka itakuwa kwa kuomba Mungu.
 
Tutatoka tu bwana. Tunawahi wakati wanafyagia na kila mtu atajua sie wanakamati. Acha uoga best, umbeya wa mjini unataka commitment. Ndo maana ushamba haukuishi
he he heeee, bado sijawa wa mujini best....au tuseme nimegoma kuwa wa mujini, lol!
haya itabidi niwe komitedi kwa hili maana :tape:
hiyo siku Paw lazima asahau kama ana muke..... busy na shughuli ya watu
 
sijakataa King'asti ishu ni kuwa huyo aliyeona ni big deal jamaa kuoa binti wa 25 yrs wkt yeye ana 50 yrs...si ajabu nionavyo mimi, tuzungumze tu mazuri khs ndoa hiyo na kwamba hilo ni jambo la kheri na Baraka...
Hii ni spesho case bwana. Huyu hata babake mzazi anajua hii ni special event. Pia Huyu ni bongo selebriti, ndo maana mie nikiolewa chuo kipya hakuna mtu ataniweka kwenye blogu.
 
Last edited by a moderator:
Paw niachie. Kum-manipulate mbona rahisi sana? Namsakizia safari ya shamba chalinzeee, ntamletea miti ya michungwa apeleke. Miti 50 tu itamuweka busy. Yaani mjini ujipange shosti hehehe. Kama simu haina betri mbili ndo ukanunue kabisaa, saa ya matukio simu isikuzimikie lol
he he heeee, bado sijawa wa mujini best....au tuseme nimegoma kuwa wa mujini, lol!
haya itabidi niwe komitedi kwa hili maana :tape:
hiyo siku Paw lazima asahau kama ana muke..... busy na shughuli ya watu
 
Hahaha, watu wanaweza kuwa na opinions kuhusu le mutuz. Yeye mwenyewe mbona hajali, akija hapa utaona kicheko chake nnachokipenda. Weye riraksi bwana. Na wewe utashonesha sare tukazamie?
sijakataa King'asti ishu ni kuwa huyo aliyeona ni big deal jamaa kuoa binti wa 25 yrs wkt yeye ana 50 yrs...si ajabu nionavyo mimi, tuzungumze tu mazuri khs ndoa hiyo na kwamba hilo ni jambo la kheri na Baraka...
 
Last edited by a moderator:
Paw niachie. Kum-manipulate mbona rahisi sana? Namsakizia safari ya shamba chalinzeee, ntamletea miti ya michungwa apeleke. Miti 50 tu itamuweka busy. Yaani mjini ujipange shosti hehehe. Kama simu haina betri mbili ndo ukanunue kabisaa, saa ya matukio simu isikuzimikie lol
ha haaaa, kweli mjini ni kukaa kimatukio...
haya tujipange best.... hivi wameshatangaza tarehe? au ndo tunajiandaa kwa lolote.
 
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini Wiliam J.Malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.

Age is nothing but a number like any other number
Ukubwa ni dawa-thamani ya mvinyo hutegemea umri na kadiri inavyozeeka ndiyo inakuwa na thamani kubwa zaidi
 
Kusema ukweli kabisaaaa!!! Difference kubwa hivyo vijana watamsaidia tu maana binti hot anataka at least ruond 5 zilizo enda shule sasa jamaa umri+kitambi= at least 3 rounds wakiwa wapya wakizoeana ni 1 na once in a week hapo naomba polisi wamnyang'anye bastola
 
Le Mutuz ni over 50!!!! Nilimuona maeneo ya kati mjini juzi Ijumaa amakakamata hako kabinti kiuno wanatembea!!!! Basi vijana wauza mitumba pale jirani na Imalaseko wakawa wanacheka sana!! Si unajua mambo ya Kiamerika tena!!! Halafu huku anaongea na jamaa Fulani kwenye simu akimueleza kuwa ana mpango wa kufungua TV na Radio. Nilicheka sana!! Kabinti ni kadogoo hakika, binti wa kumzaa!!

Wamependana wenyewe jaman tuwaache, age is just a number, m hapo sioni tatizo
 
SIO SAHIHI KUMJADILI MTU KIASI HIKI.KWANZA SIO KIONGOZI NA MAISHA YAKE HAYATUGUSI WATANZANIA KWA NAMNA YOYOTE.MBONA HUYU JAMAA MNAMFANYA KAMA panchingbegi la JF?ANYWAY NAE ANAPENDA MAISHA HAYA NADHANI MAANA HATA THREAD ZAKE HUWA ZIKO HIVYO HVYO TU.NASIKIA ETI HAWAPATANI NA MAMA ANA KILANGO HATAKI KAZI ZA NYUMBANI.
 
Nyonga,washa,vuta raisi wa wabeba box ndio anakuja Le mutuz Le big Show yupo na mbeibe mkareee you kno bongo kama vp wajipange!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom