imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,632
- 72,994
Nadhani tuijibu hoja yake kuliko kumshambulia mleta mada kuwa ni jasusi.Wewe ni mmoja wa wale vijana aliosema Mtikila kuwa mmepenyezwa na Kagame nchini?
Tutawashughulikia!
Nadhani tuijibu hoja yake kuliko kumshambulia mleta mada kuwa ni jasusi.Wewe ni mmoja wa wale vijana aliosema Mtikila kuwa mmepenyezwa na Kagame nchini?
Tutawashughulikia!
Wakati mkiwa kiongozi wa nchi tano za mstari wa mbele katika ukombozi wa Africa, mlitumwa na SADC?Rwanda ndo wamepeleka kwa kiherehere lakini tz tutapeleka kama Sadc inavyosema
Msunbiji wameomba msaada kwa majeshi ya SADC ,na sasa wap huku vikosi vyte vimekamilika kuanza msako wa waasi .Jeshi la msumbiji liligawanyika na kuzidiwa na waasiKuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa pia upande wa vikosi vya Umoja wa Mataifa kwamba tuna jeshi linalotumainika na kutegemeka.
Lakini baada ya hivi karibuni Msumbiji kupata matatizo na waasi, wamekimbilia Rwanda kuomba msaada, na sio Tanzania. Najiuliza sana, kulikoni tena Msumbiji wamegeukia Rwanda na sio Tanzania tena? Na habari kutoka Msumbiji zinasema jeshi la Rwanda limefanya maajabu Msumbiji na kukomboa sehemu iliyokuwa ikikaliwa na waasi.
Ukweli ni kwamba fursa za jeshi letu kutoa msaada wa kijeshi pale unapotakiwa ni fursa nzuri sana ya kulipa mazoezi halisi ya kivita. Wakati wa vita na Idd Amin, sababu moja iliyofanya tumpige kirahisi ilikuwa kwamba jeshi letu lilikuwa na uzoefu wa vita katika mapambano ya kupigania uhuru kusini mwa Afrika. Kwa hiyo Idd Amin alichokoza nchi ambayo wanajeshi wake walikuwa wamebobea vita, wakati wanajeshi wa Uganda walikuwa wameoteana vitambi na uzoefu wao ilikuwa kupiga raia wasio na silaha. Sasa nachelea sababu za Msumbiji kuamua kwenda Rwanda safari hii. Au wameona tuko busy na mabishano ya katiba mpya na kupambana na wapinzani wa siasa mitaani?
Reference: Rwandan, Mozambican troops capture rebel stronghold in Cabo Delgado
Mkuu GT utawaitaje hao magaidi Msumbiji waasi?!!Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa pia upande wa vikosi vya Umoja wa Mataifa kwamba tuna jeshi linalotumainika na kutegemeka.
Lakini baada ya hivi karibuni Msumbiji kupata matatizo na waasi, wamekimbilia Rwanda kuomba msaada, na sio Tanzania. Najiuliza sana, kulikoni tena Msumbiji wamegeukia Rwanda na sio Tanzania tena? Na habari kutoka Msumbiji zinasema jeshi la Rwanda limefanya maajabu Msumbiji na kukomboa sehemu iliyokuwa ikikaliwa na waasi.
Ukweli ni kwamba fursa za jeshi letu kutoa msaada wa kijeshi pale unapotakiwa ni fursa nzuri sana ya kulipa mazoezi halisi ya kivita. Wakati wa vita na Idd Amin, sababu moja iliyofanya tumpige kirahisi ilikuwa kwamba jeshi letu lilikuwa na uzoefu wa vita katika mapambano ya kupigania uhuru kusini mwa Afrika. Kwa hiyo Idd Amin alichokoza nchi ambayo wanajeshi wake walikuwa wamebobea vita, wakati wanajeshi wa Uganda walikuwa wameoteana vitambi na uzoefu wao ilikuwa kupiga raia wasio na silaha. Sasa nachelea sababu za Msumbiji kuamua kwenda Rwanda safari hii. Au wameona tuko busy na mabishano ya katiba mpya na kupambana na wapinzani wa siasa mitaani?
Reference: Rwandan, Mozambican troops capture rebel stronghold in Cabo Delgado
Tumia akili kidogo wewe, yake machafuko yanahusu kampuni ya TOTAL ambayo ndio ina mradi mkubwa sana wa kuchimba gesi/ mafuta huko Delgado. Sasa TOTAL ni kampuni ya ufaransa, na ufaransa na mizizi mikubwa sana nchi za Rwanda, Burundi, DRC nk. ila sio Tanzania, na kwa vyovyote huo msaada wa kijeshi si msaada kama unavyotajwa, lazima Rwanda walipwe na faida juu, sasa unadhani nani analipia hiyo vita kama si French TOTAL?Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa pia upande wa vikosi vya Umoja wa Mataifa kwamba tuna jeshi linalotumainika na kutegemeka.
Lakini baada ya hivi karibuni Msumbiji kupata matatizo na waasi, wamekimbilia Rwanda kuomba msaada, na sio Tanzania. Najiuliza sana, kulikoni tena Msumbiji wamegeukia Rwanda na sio Tanzania tena? Na habari kutoka Msumbiji zinasema jeshi la Rwanda limefanya maajabu Msumbiji na kukomboa sehemu iliyokuwa ikikaliwa na waasi.
Ukweli ni kwamba fursa za jeshi letu kutoa msaada wa kijeshi pale unapotakiwa ni fursa nzuri sana ya kulipa mazoezi halisi ya kivita. Wakati wa vita na Idd Amin, sababu moja iliyofanya tumpige kirahisi ilikuwa kwamba jeshi letu lilikuwa na uzoefu wa vita katika mapambano ya kupigania uhuru kusini mwa Afrika. Kwa hiyo Idd Amin alichokoza nchi ambayo wanajeshi wake walikuwa wamebobea vita, wakati wanajeshi wa Uganda walikuwa wameoteana vitambi na uzoefu wao ilikuwa kupiga raia wasio na silaha. Sasa nachelea sababu za Msumbiji kuamua kwenda Rwanda safari hii. Au wameona tuko busy na mabishano ya katiba mpya na kupambana na wapinzani wa siasa mitaani?
Reference: Rwandan, Mozambican troops capture rebel stronghold in Cabo Delgado
Tumeshaenda tayari..Ndugu mtoa mada yakupasa utambue ya kuwa MZA yenyewe awali ili kataa msaada wa kijeshi tokea ktk nchi za SADEC na rais filepe nyusi aliomba msaada tokea USa na Ureno ....
Ureno walipeleka jeshi lao kwa kipindi kifupi wakarejeshwa na nafikir USA hawakupeleka kabisaa
Felipe nyusi kwa aibu yake akaenda Rwanda kuomba msaada wa jeshi pia aliomba msaada tokea Angola defence force
Nafikir sasa SADEC wameona watoe msaada maana hata jeshi la marekan kupitia kamandi yake ya Africa mkuu wake alikuwepo hapa Tzz kama majumaa kadhaa huenda ikawa na wao wametia ubani kuiomba chonde chonde JWTZ ipeleke wanaume wa kazi
Jamaa alifanya dharau kuwatumia mabeberu ila alikuwa akijua mkali wa hizi kazi ni Jei Wii toka TZ kwa aibu akaona amtangulize Mrwanda kisha ndio ajipendekeze kwetu!Ndugu mtoa mada yakupasa utambue ya kuwa MZA yenyewe awali ili kataa msaada wa kijeshi tokea ktk nchi za SADEC na rais filepe nyusi aliomba msaada tokea USa na Ureno ....
Ureno walipeleka jeshi lao kwa kipindi kifupi wakarejeshwa na nafikir USA hawakupeleka kabisaa
Felipe nyusi kwa aibu yake akaenda Rwanda kuomba msaada wa jeshi pia aliomba msaada tokea Angola defence force
Nafikir sasa SADEC wameona watoe msaada maana hata jeshi la marekan kupitia kamandi yake ya Africa mkuu wake alikuwepo hapa Tzz kama majumaa kadhaa huenda ikawa na wao wametia ubani kuiomba chonde chonde JWTZ ipeleke wanaume wa kazi
Hivi kwa nini waasi hawakuyalipua hayo matank ya wafaransa au hawakupewa ruhusa na wakubwa wao wa TzWaanajeshi wa Rwanda wakienda kwaajili ya kulinda visima vya gasi vya kampuni za kifaransa Total ndio maana hata SADC haikukubaliana na huo mpango kwa sababu Rwanda sio mwanachama
Ndio maana walileta Askari toka Rwanda ili kusaidia kulinda mali zao ikiwemo hayo matankiHivi kwa nini waasi hawakuyalipua hayo matank ya wafaransa au hawakupewa ruhusa na wakubwa wao wa Tz
Ndio maana walileta Askari toka Rwanda ili kusaidia kulinda mali zao ikiwemo hayo matanki
Huyu Nyusi wa Msumbiji ni genius?...please tupe breakIla Rais Nyusi Ni genius na amewafungua wengi macho,ukiona washirika wako(SADC) hawaeleweki unaenda kuomba msaada huko mbali kabisa aisee baada ya Muda kidogo utaona majirani wanakuja mbio mbio nao kutoa msaada waonekane walishiriki Hahah.
Huyu Nyusi wa Msumbiji ni genius?...please tupe break
Simu moja kutoka maroon ikaenda kwa ok nyusi akawa invited kupoke maelekezo ya kuwapokeaTufanye wewe ndio genius.Haya chukua break.
Simu moja kutoka maroon ikaenda kwa ok nyusi akawa invited kupoke maelekezo ya kuwapokea
Hakuna vya kudemka
tulishasaidia sana hawa watu na wengine lakini wamekosa shukrani, sasa waache wapambane wenyewe....Rwanda ni rafiki maslahi hajakwenda bure pale, utasikia tu balaa lake...
Enzi zile tuliwasaidia wote hawa bure kabisa lakini wamekosa shukrani...