Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Pumbafuuuuuu sana, aende akapewe ukuu wa wilaya au mkoa ili aendeleze ufisadi wake vizuri
laana kutoka kwa huyo baba yakehuyu bwana anasema amepita bila kupingwa kumbe ilikuwa danganya toto. Cha moto amekiona na nadhani hatarudia tena. Ulikuwa ubunge wake wa kwanza na wa mwisho!! Hahahahahahahahahahahahaha. Huyu jamaa baba yake alikuwa udp na acyually huyo mzee walikuwa ndiyo waasisis wa mageuzi ya vyama vya siasa kanda ya ziwa. Mtoto tunasikia ghafla akaibukia ccm. Nadhani amekiona cha mtema kuni!!
Majuzi kadundwa na mume mwenzie kapoteza meno matatu plae British Legion....kwa sababu ya maneno machafu
source/evidence?
Vipi amesharudi IMMA Advocate kupiga kazi? Nina imani JK atampa Ubunge kwenye zile nafasi zake saba zilizobaki. JK hawezi kumtupa na wala Mh. Rais hana historia ya kuwasahau watu waliomsaidia kwa namna moja au nyingine!! Kumbuka Masha kupitia IMMA Advocate alimpatia nyumba ya kuishi na gari ya kifahari aina ya Mercedes Benz S Class (S350) mtoto wa JK bwana Ridhiwani mara baada ya baba yake kuteuliwa kuwa mgombea Urais kupitia CCM mwaka 2005.
Nilkuwepo
Yuko South Africa --- Dar sasa hivi aibu