halafu ukamwacha aende zake????
tuuzie kesi hiyo kaka tuhangaike naye
Hahahahahahahahhhh Werawerrraaa. Deodat umeleta kitu kizuri sana. Wenje usimsahau Masha katika ufalme wako japo kupangusa gari yako tu na kiwi akupigie
wewe nawe mkeo kicheche.....mpaka anamegwa na lau?Huko aliko anajinyea kama siyo kujikojolea FISADI, mwanaharamu. Alimega mke wangu, mwacheni tu na bado. Ngoja kesi za ufisadi zifunguliwe bungeni atakiona cha moto
Baba! Baba! Nafikiri leo ukiyakumbuka maneno yako, unajuuuuta kumfahamu Wenje! ha ha ha ha ha ha!
YouTube - Nyamagana MP Lawrence Masha speaks (MichuziBlog)
Mafisadi! Piga chini! Wezi! Piga chini! Majambazi! Piga chini! Wachakachuaji! Piga chini!
Wera weraaaaaa!
wekeni hii video kwenye kumbukumbu.Masha au Michuzi mwenyewe bila kuambiwa hachelewi kuifuta.kuficha aibu hii.
Kutoka kuwa mbunge aliyepita bila kupingwa mpaka kuwa waziri aliyeangushwa. teh teh teh
Amenichekesha pale anasema " Mimi na mwenzangu ngeleja tuliopita bila kupigwa tawasaidia wenzetu."- Kumbe aliotaka kuwasaidia ndio walitakiwa kumsaidia.
Nimecheka zaidi alivyosema " hapa Mwanza ni CCM tu "
Weraaaaa Weraaaaaaaaaaa
Huko aliko anajinyea kama siyo kujikojolea FISADI, mwanaharamu. Alimega mke wangu, mwacheni tu na bado. Ngoja kesi za ufisadi zifunguliwe bungeni atakiona cha moto