Kuna scandal kwamba huu wimbo wa Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net umekua sampled kutoka moja ya nyimbo za mwanadada mJamaica, sasa ingawa watu kibao hufanya hivyo ulaya na inakua kitu cha kawaida, je kwa hili letu nani alalamikiwe?
lawama zikuendee wewe unaesikiiza jisongi hilo.......bongo fleva ni kwa fools......
lawama zikuendee wewe unaesikiiza jisongi hilo.......bongo fleva ni kwa fools......
Baada ya kuulizwa na "Gossip Cop. wa Clouds Bw.Soud Brown Dully Sykes alimtukana kuwa haongei na "MASHOGA"
lawama zikuendee wewe unaesikiiza jisongi hilo.......bongo fleva ni kwa fools......