MFYU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 505
- 68
jamani,memaliza LL.B apo UDSM 2012..nataka nijue ka ntakua eligble kujiunga na Law School mwaka huu,yaani after 12th &13 cohort -july intake...! Cuz naskia hawa majamaa hawataki PROVISIONAL RESULTS,so i need to wait mpaka mwakani! Dah,nataka niunge fasta...!