Law School

MFYU

JF-Expert Member
Jun 28, 2012
505
68
jamani,memaliza LL.B apo UDSM 2012..nataka nijue ka ntakua eligble kujiunga na Law School mwaka huu,yaani after 12th &13 cohort -july intake...! Cuz naskia hawa majamaa hawataki PROVISIONAL RESULTS,so i need to wait mpaka mwakani! Dah,nataka niunge fasta...!
 
Why unasikia? Hawana website? Ngoja your learned fellows waje wakunasihi. Hongera kwa kumaliza chuo.
 
Why unasikia? Hawana website? Ngoja your learned fellows waje wakunasihi. Hongera kwa kumaliza chuo.

wanayo,ila so far bado...hakuna chochote ju ya 14th Cohort....em jus tryn to gt an advice,kama kunaingilika ukiwa na Provsnal results-manake ad uje pata transcpt ya Mkandala ni ishu!
Thanx a lot
 
Ilipokua inaanza walikua wanafanya hivyo ila kwa sasa, wanafunzi walioko tayari tayari wapo wengi..sidhani kama wanaruhusu Provisional results...wakati kuna uwezekano wa kupata academic transcript?? Mara nyingi majibu yao yanakua vyuo vijitahidi kutoa transcript kwa wakati...Lakini kama upo dar jaribu kupitia ofisi zao pale Ubungo plaza ongea na msajili..Intake ya July yenyewe imehang mpaka sasa haijulikani ni lini....
 
Mbona mapema? Hata Dissertation yako hatujaanza kuisahihisha achilia mbali mitihani yako ya Semista ya pili.Una uhakika utafaulu? Anyway,waweza kujiunga mwaka huu huu.Kohoti ya 12 na 13 zitajiunga mwezi wa 8. Ya 14 na kuendelea zaweza kujiunga kati ya Desemba mwaka huu au Januari mwakani.Au kutokana na Majengo mapya ya Law School kuanza kutumika,yawezekana wakachukuliwa wengi kwa pamoja.Endelea kufuatilia na unifuatilie pia.Prof. Hamudi Ismail Majamba ameniomba nikusalimie...
 
jamani,memaliza LL.B apo UDSM 2012..nataka nijue ka ntakua eligble kujiunga na Law School mwaka huu,yaani after 12th &13 cohort -july intake...! Cuz naskia hawa majamaa hawataki PROVISIONAL RESULTS,so i need to wait mpaka mwakani! Dah,nataka niunge fasta...!

Ofisi zao huzifahamu?Watafute upate maelezo sahihi kutoka kwao!Mboana unakuwa kama hujasoma hiyo course banaa?
 
Mbona mapema? Hata Dissertation yako hatujaanza kuisahihisha achilia mbali mitihani yako ya Semista ya pili.Una uhakika utafaulu? Anyway,waweza kujiunga mwaka huu huu.Kohoti ya 12 na 13 zitajiunga mwezi wa 8. Ya 14 na kuendelea zaweza kujiunga kati ya Desemba mwaka huu au Januari mwakani.Au kutokana na Majengo mapya ya Law School kuanza kutumika,yawezekana wakachukuliwa wengi kwa pamoja.Endelea kufuatilia na unifuatilie pia.Prof. Hamudi Ismail Majamba ameniomba nikusalimie...

teh!teh..yaani nkiwaza io kitu ya GPA,nahc kudata,.shule ya pale stakaa niisahau....khaaah!!
 
Subiri next year,hakuna intake nyingine kwa mwaka huu zaidi ya hiyo ya 13 na 14
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom