Akili ndogo ....daaaah sikutegemea kukuta coment kama hii hapa jamii forum.. Wewe kama elimu sio o'level basi standard 7..jiulize kwanini waziri na serikali yako jasho linawatoka kuhusu TLSKwani Urais wa SACCOSS ya TLS nao ni dili? Waroho wa madaraka hapo ndiyo mmefika.
Hatushangai hadi Udiwani, huwa Viongozi wa kitaifa huenda kuweka nguvu na matokeo take mnapigwa. Sasa yako ka TLS mbona ndiyo mmepata?
Karibu vipi matokeo unayo? Tusubiri Lubuva tena afanye manuva yakeusilolijua ni kama usiku wa giza kesho sio vibaya ukienda na dawa za pressure zikawa karibu
Mbona huoni mbinu za kitoto za waziri wako ??Hii ilitegemewa kwakuwa toka awali ufipa wamejipanga kuiteka TLS iwe kijitawi chao kidogo....Mashaa alikuwa kawekwa tu kama geresha ili badae eti ajitoe mbinu za kitoto hizi
weweee!!! Umeongea point sana,hawa jamaa wa kijani ni washenzi wa tabia haiwezekani lissu aachiwe kilaini hivyo inawezekana huko kwenye kuhesabu kura kuna michezo wameshaandaIshu ya kukifuta ndo imeisha au wamehamia kwenye plan B?
Vita bado tusisherehekee ushindi mapema.
Mimi niliyeanzisha hii mada ni CCM anayesimama kwenye fact take it or leave itNiulize jamani, mbona Lumumba siwaoni uzi huu?
Tulia sindano ikuingie wewe.Hii ilitegemewa kwakuwa toka awali ufipa wamejipanga kuiteka TLS iwe kijitawi chao kidogo....Mashaa alikuwa kawekwa tu kama geresha ili badae eti ajitoe mbinu za kitoto hizi
Aone ni opportunity kwake? Hawezi kuwa so mean. Mtu anayependa demockrasia ya kweli anatakiwa ashinde kiukweli sio kwa vile kuna mwingine hakuweza kugombea for some reason or otnerI expected this from day one ndo maana nilikuwa nawashangaa waliokuwa wanatoa povu!!
Kama mtu angekuwa anamfuatilia Masha; tangu day one alikuwa mstari wa mbele kukipigia kelele chochote kilichokuwa against Lissu!!! Nilishahisi hii ilikuwa ni plan ya kuzuia wagombea wengine kuchukua fomu lakini ili hatimae mmoja ajitoe!!!
Nakumbuka hata siku Lissu alipokamatwa; Masha alipiga kelele sana hadi mtu ungeweza kujiuliza kwanini kukamatwa kwa Lissu asione ni opportunity kwake!!!
Atanyanyua kwapa asubuhi na mapema hahahahaArdhi ya Arusha ilivyo na mahaba na wapinzani nadhani Lissu atachukua ndoo mapema sana.
unajua tuna fyuzi 391 sasa ukikata moja unakua hujafanya kitu labda ukate mia 291 kidoogo.sawaIli uwe ccm lazma ujitoe akili yani fyuzi moja kichwani ikate mawasiliano
That's trueNadhani Lissu atashinda kwa zaidi ya asilimia 90 na sababu kubwa ikiwa ni kiki aliyopewa na serikali ya Magufuli.
It's a wrap.