LAT, Voice of a Reason, Malila, Ameoba na wengine wengi...

Nimechelewa sana kuiona hii wakuu; lakn natumai sijachelewa ushiriki, muda unanibana kidogo, na kutokana na mazingira yaliyopo sijaweza kupitia post zooote katika thread hii, tafadhali naomba lead wakuu-nipeni summary ya wazo msingi lililokubalika na mikakati iliyofikiwa (kwa pm nitafurahi) ili nijue pa kuanzia! Natanguliza shukrani!
 
Linapokuja swala la kuwekeza hua sichelewi sana kuingia na kucheza hiyo ngoma.Mawazo yangu ni haya, kuna fursa nyingi ktk kilimo na mitaji yake sio mikubwa sana,tunaweza vamia pori kubwa bila kununua na tukaanzisha kijiji cha mifugo, mipori iko mingi sana haina wenyewe. Wazo la pili, ninalirudia, twende ktk miji midogo inayokuwa ( Kimanzi/Chalinze/segera nk) tupate eneo kubwa na kulifanya service center, silaha yetu kubwa iwe huduma bora kwa wateja. Naamini inaweza kuwa nembo ya mji huo kwa huduma zetu.

Tumejaribu ktk project ya misitu na tumefanikiwa sana, sasa hivi tunaendelea na uwekezaji ktk shamba dogo la kuku, ardhi tunayo tayari na jengo la kuanzia lipo, hatujaanza na jogoo kama alivyoanza NM bali tumeanza na tetea nane kwa kuwatoa huku huku pwani na jogoo wa jirani.


kaka mwaka jana nimeenda kule sadani (unapafahamu) kule nimekuta kuna ardhi kibao halafu inauzwa kwa bei nafuu sana....nimefanikiwa kupata ardhi kule....nimekuta kuna wazungu wale waliofukuzwa na mugabe wako kule wamjichimbia kule wnalima mahindi kweli kwa wingi...kule kuna mapori kibao na ardhi safi


kwenye nchi hii kuna mapori kibao lakini kaka huko chalinze karibu yote mafisadi wamejigawia maeneo kule....
 
kule rufiji nilipata shamba na nimelima mananasi kule heka 8.....kule ardhi ipo tena nzuru tu twaweza kuangalia na huko pia
 
Very interesting guys!

Ni vizuri hata kama hujaamua kuwa Member ukahudhria kikao Cha Tar 9 Jumatano.

If you have any Chance dont ever plan to miss this Meeting!!!!

I really dont know why, But a have a great anticipation on the future of the Umoja Project.

Nimependa ma Co-ordinater wa hii Project wanavyofanya Kazi nzuri.

Cheers Guys.
 
malila

milango ya safina bado ipo wazi?

naona seat zinakwisha
 
malila

milango ya safina bado ipo wazi?

naona seat zinakwisha

Milango imeshafungwa,dirisha la hewa tuliweka pana mno,jamaa wanaingilia dirishani. Tuzibe dirisha,kumbuka chakula chetu ni cha siku tano tu !!!!!!!!!
 
kaka mwaka jana nimeenda kule sadani (unapafahamu) kule nimekuta kuna ardhi kibao halafu inauzwa kwa bei nafuu sana....nimefanikiwa kupata ardhi kule....nimekuta kuna wazungu wale waliofukuzwa na mugabe wako kule wamjichimbia kule wnalima mahindi kweli kwa wingi...kule kuna mapori kibao na ardhi safi


kwenye nchi hii kuna mapori kibao lakini kaka huko chalinze karibu yote mafisadi wamejigawia maeneo kule....

November hii napiga site kule Mapanda, kama utakuwa ofisini kwenu nijulishe ili tupange kwenda Sadani tukafanye vitu vikubwa kule. Vipi kahawa inamea kule?
 
Katika kupata update ya yaliojiri - Ningependekeza(ingawa nafikiri hii iko tayari kwenye agenda) kuwepo na minute taker ambaye angeweza email kila mtu action points baada ya kikao

Many thanks
 
Katika kupata update ya yaliojiri - Ningependekeza(ingawa nafikiri hii iko tayari kwenye agenda) kuwepo na minute taker ambaye angeweza email kila mtu action points baada ya kikao

Many thanks

Kikao kimefanyika kwa mafanikio makubwa, minutes zitatumwa kwenu, summary ya kilichoamuliwa nimesha watumia kwa mail zenu jioni hii. Na pengine kesho Mkeshahoi/Nm watawapa minutes.

Karibuni sana.
 
Kikao kimefanyika kwa mafanikio makubwa, minutes zitatumwa kwenu, summary ya kilichoamuliwa nimesha watumia kwa mail zenu jioni hii. Na pengine kesho Mkeshahoi/Nm watawapa minutes.

Karibuni sana.
Mkuu kama kuna mzunguko wowote wa taarifa naomba nikumbukwe...tangu kikao cha B point kimepita niko mweupe kabisa wa taarifa...
Asenti..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom