Profee Essoree
Member
- Sep 14, 2011
- 36
- 5
Jamani suala la kukataza simu au laptops shule za bweni linashusha au linakuza elimu yetu?
Mtazamo wangu.
Kutokana na teknolojia ya sasa na vitabu havipatikani mashuleni si sahihi vitu hivi kukatazwa kwani notes nyingi zipo online!
Hili ninyi wazalendo mnasemaje!
Mtazamo wangu.
Kutokana na teknolojia ya sasa na vitabu havipatikani mashuleni si sahihi vitu hivi kukatazwa kwani notes nyingi zipo online!
Hili ninyi wazalendo mnasemaje!