MASTERSERIES
Member
- Jun 11, 2015
- 18
- 6
Jana jumatatu SAA kumi na moja jioni nilipigiwa simu na mtu wa LAPF kuwa natakiwa kuhudhuria interview Dodoma jumatano tareh 16/09 saa tano asbuhi.sasa maswali ya kujiuliza:
1.hivi mtu huko Dar unapigiwa simu jioni utajipanga saa ngapi ili kesho uanze safari ukizingatia ofisi zimeshafungwa na ruhusa huna?
2.inaonyesha wana mtu wao waliyemuandaa Ina maana huyo MTU ni kilaza Sana kiasi wanaogopa competition kwa hiyo wanabana muda ili watu tusiudhurie na huyo mtu waliyempanga apate kilaini !mjifunze wenzenu wanachakachua mwishoni!
3.Huyo mtu mliyemtuma apige simu customer care ni zero mumfundishe Kazi anaulizwa swali kuhusu ni wapi mtu apeleke malalamiko yake anajibu jeuri!
Siku nyingine mtoe muda wa kutosha kwani sio kila mtu yuko Dodoma!LA sivyo itabidi uko mbeleni na nyie mkutane na MABADILIKO either ya JPM au ENL
1.hivi mtu huko Dar unapigiwa simu jioni utajipanga saa ngapi ili kesho uanze safari ukizingatia ofisi zimeshafungwa na ruhusa huna?
2.inaonyesha wana mtu wao waliyemuandaa Ina maana huyo MTU ni kilaza Sana kiasi wanaogopa competition kwa hiyo wanabana muda ili watu tusiudhurie na huyo mtu waliyempanga apate kilaini !mjifunze wenzenu wanachakachua mwishoni!
3.Huyo mtu mliyemtuma apige simu customer care ni zero mumfundishe Kazi anaulizwa swali kuhusu ni wapi mtu apeleke malalamiko yake anajibu jeuri!
Siku nyingine mtoe muda wa kutosha kwani sio kila mtu yuko Dodoma!LA sivyo itabidi uko mbeleni na nyie mkutane na MABADILIKO either ya JPM au ENL