Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,956
- 4,146
Hiyo lugha itadhihirika zaidi nyakati za uchaguzi 2025
Rais anao mawaziri wengi, ila kati ya hao, wengi hawamtaki ila kwa sababu ya desturina mila zetu za kiafrika, mtu hutakiwi kumpinga mkubwa wako hadharani, unachoruhusiwa ubakie na chuki zako moyoni
Mh Rais, anasukuma gurudumu lenye matopè mengi, na hivyo kufanya safari yake kusukuma grudumu la maendeleo kuwa ni kazi ngumu sana!
Huwezi kuwa na wizara karibu zote hazitatui kero za wananchi kama si mgomo ni nini?
Miongoni mwa wizara zote, kama mtanzania, ni wizara ipi angalau inafanya vema?
Wizara zisipofanya vema, tafsiri yake ni nini kama si kutoambatana na kila anaagiza mkuu wao?
2024 inapoanza, namshauri mama, iwapo angependa kubaki kiongozi wa kukumbukwa, afanyie marekebisho uongozi wake, ima aanze kufwatilia wizara moja hadi nyingine ili kuhakikisha viongozi wa mawizara wanamsaidia kweli
2024, ni heri akubali kulaumiwa na wachache ili wengi wapone,
Rais anao mawaziri wengi, ila kati ya hao, wengi hawamtaki ila kwa sababu ya desturina mila zetu za kiafrika, mtu hutakiwi kumpinga mkubwa wako hadharani, unachoruhusiwa ubakie na chuki zako moyoni
Mh Rais, anasukuma gurudumu lenye matopè mengi, na hivyo kufanya safari yake kusukuma grudumu la maendeleo kuwa ni kazi ngumu sana!
Huwezi kuwa na wizara karibu zote hazitatui kero za wananchi kama si mgomo ni nini?
Miongoni mwa wizara zote, kama mtanzania, ni wizara ipi angalau inafanya vema?
Wizara zisipofanya vema, tafsiri yake ni nini kama si kutoambatana na kila anaagiza mkuu wao?
2024 inapoanza, namshauri mama, iwapo angependa kubaki kiongozi wa kukumbukwa, afanyie marekebisho uongozi wake, ima aanze kufwatilia wizara moja hadi nyingine ili kuhakikisha viongozi wa mawizara wanamsaidia kweli
2024, ni heri akubali kulaumiwa na wachache ili wengi wapone,