Landrover 110 for sale

Nandi jr

Member
Feb 27, 2015
95
34
Poleni na majukumu wadau. Ninauza gari yangu Landrover 110 station wagon, diesel engine, inatembea ila inadaiwa kwa miaka mitatu kiasi cha tsh 930,000/= Bei ni tsh 5,000,000/= Gari ipo Mtwara na inauzwa kama ilivyo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane.
 

Attachments

  • 1425029924449.jpg
    1425029924449.jpg
    77.6 KB · Views: 1,097
  • 1425029946833.jpg
    1425029946833.jpg
    77.7 KB · Views: 1,001
  • 1425029972954.jpg
    1425029972954.jpg
    37.7 KB · Views: 949
  • 1425029997348.jpg
    1425029997348.jpg
    69.3 KB · Views: 957
  • 1425030024968.jpg
    1425030024968.jpg
    53.8 KB · Views: 939
Msala; mpaka imefichwa namba; imekwapuliwa msumbiji hii; hatudanganyikiiii!
 
tunaojua magari hiyo ndio yenyewe najua ina miaka si chini ya 20 lakini kwa bei hiyo ni sawa kabisa hiyo defender matata sana ,ngoja nikipata hela kama bado ipo ntakutafuta
 
Poleni na majukumu wadau. Ninauza gari yangu Landrover 110 station wagon, diesel engine, inatembea ila inadaiwa kwa miaka mitatu kiasi cha tsh 930,000/= Bei ni tsh 5,000,000/= Gari ipo Mtwara na inauzwa kama ilivyo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane.

Mkuu hebu nibip kwa 0789680000 tuongee kiume.
 
Poleni na majukumu wadau. Ninauza gari yangu Landrover 110 station wagon, diesel engine, inatembea ila inadaiwa kwa miaka mitatu kiasi cha tsh 930,000/= Bei ni tsh 5,000,000/= Gari ipo Mtwara na inauzwa kama ilivyo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane.

Ni ya mwaka gani na imetembea km ngapi?
 
MTK msumbiji hawatumii hizi wao wanatumia zaidi landcruisers. Kwa wengine wote gari hiyo haivuji kama mnavyodhani nadhani kama mtu angepata nafasi ya kuiona angewaelezea vizuri zaidi ilivyo. Sababu za kuiuza ni kwamba nipo busy sana na kazi za kiofisi sina muda wa kuitumia ni bora nimuuzie mtu ambae ataitumia kwangu muda mwingi inakuwa imepaki.
 
Maneno haya yana ukakasi;
1. Dancing floor vs Dance floor
2.plate number vs number plate!?? Kipi ni sahihi¿
 
Msala; mpaka imefichwa namba; imekwapuliwa msumbiji hii; hatudanganyikiiii!

wacha kukatisha tamaa wenzio wanaotaka kununua kama huna hela kaa kimya ,imeibiwa msumbiji umethibitisha? au unalopoka tuu na wewe uonekane umecoment
 
Back
Top Bottom