The Boss hapo ni balaa ikija kujulikana kuwa anatumia
Inawezekana anapewa bila hata yeye kujua
Ila kwa umaarufu Usain Bolt aliofikia na kuja kuambiwa kuwa anatumia madawa ni balaa
Unamkumbuka yule mwanadada wa kimarekani Marion Jones nae alikuwa maarufu sana kwenye mbio za mita 100 naye yalimkuta haya haya ya madawa na ikawa ndio mwisho wake
Inawezekana Lance Amstrong yeye kama yeyer hakuwahi kula hayo makitu....atakuwa alipewa indirectly bila yeye kujua ndio maana ameendelea kukataa pamoja na vipimo kuonyesha kuwa alikuwa akitumia madawa ya kumpa nguvu!
BTW, Tour de France ilikuwa nezi za Amstrong...sasa hivi wote wanaboa... I still feel Amstrong.
Seriously, mashindano ya basikeli yana kuboa na kufurahisha?
Yeah yaneshuka kiwango sana sio kama zamani....