Dada huyu ameshuka katika gari na kuanza kutembea bila shida katika mazingira ya "public".inasemekana alikuwa anatokea kwenye fiesta kuelekea Dar.wapi maadili?
dada huyu ameshuka katika gari na kuanza kutembea bila shida katika mazingira ya "public".inasemekana alikuwa anatokea kwenye fiesta kuelekea dar.wapi maadili?
hizo ni swagg za mabinti...unamshangaa huyo hujawaona kina Wema na yule mwenzake kinyago cha mpapure wanavyoonesha maungo yao kwa kadamnasi kwenye majukwaa ya Fiesta!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.