Lakini Yana Mwisho Haya...!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,725
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)
 
Mikumi is a notorious place. 2009 rafiki yangu naye alivamiwa vivyo hivyo naye alikuwa anakwenda kwenye msiba. Kinachosikitisha ni kwamba polisi wanafahamu hayo yote lakini hawachukui hatua kama vile kuweka barrier na kusindikiza magari yakishakuwa mengi. Hii inaweza kupunguza huu unyama unaofanywa na hawa majambawazi.
 
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)

ANGALIZO:

NIMELAZIMIKA KU-EDIT HII OST ILI NIELEWEKE VIZURI.

SINA UGOMVI WOWTE NA HUYU NDUGU ALIYEPATA AJALI, BALI NIMETOA MCHANGO WANGU WA MAWAZO KULINGANA NA HALI HALISI YA JAMII YETU ILIVYO HASA KUHUSU UHUSIANO WA ALIYENACHO NA ASIYE NACHO. CHA KUSIKITISHA ZAIDI, HATA FAMILIA ZIMEATHIRIKA SANA TA TOFAUTI HIZI ZA KIUCHUMI KATIKA JAMII. HIVYO UNAPOSOMA APA TAFADHARI UWE NEUTRAL NDIO UTANIELEWA VIZURI.

NAMPA POLE SANA NDUGU YETU ALIYEPATA AJALI NA NAMUOMMBEA APONE HARAKA NA FAMILIA YAKE. NI KAWAIDA KWA JAMII YETU KUTAFAKARI MAISHA KWA MAPANA YAKE PALE TUNAPOPATA TUKIO LA KUSIKITISHA KAMA MSIBA , AJALI NK. NAOMBA SOTE TUTUMIE TUKIO HILI KUTAFAKARI NAMANA TUNAVYOISHI NA NDUGU NA MAJIRANI ZETU TUREKEBISHE MAISHA YETU NDIPO TUTAKUWA WANA WA MUNGU KWELI. MMBARIKIWE SANA NA POLE KWA WOTE WALIOKWAZWA NA POST HII

MUNGU AWAPE AMANI.

amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????
 
hey!wat are u toking about?wea in the hell are u found?I dnt think there is a place for u on earth!u sound like an ..........dnt wanna finish.
amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????

na mkome kuringa na vi-"usafiri binafsi vyenu"
 
ooooooooops,tanzania nchi yangu Amani yako iko wapi?
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)
 
sasa hao wanaofanya uvamizi huo ni kina nani?
je hamna mkono wa wanajeshi wa mapeshi yetu kama polisi, jeshi la kulinda nchi, na jeshi la wanyama pori?
hebu tujiulize, miaka nenda rudi wimbi hilo la uporaji linaendelea, na wala hatuwahi kusikia mtu kukamatwa.
 
amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????

na mkome kuringa na vi-"usafiri binafsi vyenu"

we naye!!!!!!!!!!!!
 
amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????

na mkome kuringa na vi-"usafiri binafsi vyenu"
du,naona wewe ndo jambazi mwenyewe.
 
Ni nini hii maneno?

Ni wapi palipoanzia kuharibika?

Na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

Ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao Mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka Dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

Wakiwa wanapita eneo la Mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)

Duh, Wape Pole Mzee PJ, Eneo la kati ya Mikumi na Daraja mbili kama unaelekea Iringa au Mbeya ni Hatari sana nyakati za Usiku, nasikia wanaofanya huo Uharamia ni Wanavijiji wa Maeneo hayo kama unasafiri halafu ukafika Mikumi kweye saa Moja ni bora ulale ili uendelee na safari kesho yake
 
ni nini hii maneno?

ni wapi palipoanzia kuharibika?

na je wakati huo tulikuwa wapi, hadi mambo yanafika huku?

ni jana tu, ndugu na jamaa yangu huyu, alipata simu ya kufiwa na babake mzazi huko kwao mbeya, akakusanya familia yake(mke na watoto), wakaondoka dar kuelekea eneo la tukio, wakiwa na usafiri binafsi.

wakiwa wanapita eneo la mikumi usiku wakavamiwa na majambazi, wakaporwa kila walichokuwa nacho(fedha, simu, documents, mabegi etc), wakaachwa hawana msaada.
(true scene, nimepigiwa leo)
mkuu mbaya wenu huyu hapa chini

amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

Alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

Alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

Je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????

Na mkome kuringa na vi-"usafiri binafsi vyenu"
 
mkuu mbaya wenu huyu hapa chini
Kweli, alivyorespond huyu mtu anaonyesha kuwa aidha anahusika, au anawajua wahusika. Mazingira ya post yake yanamuweka Prime Suspect!
AK, EMBU WEKA SAWA HII MANENO NDUGU!
 
kweli, alivyorespond huyu mtu anaonyesha kuwa aidha anahusika, au anawajua wahusika. Mazingira ya post yake yanamuweka prime suspect!
ak, embu weka sawa hii maneno ndugu!

nimeisharekebisha kwa kutanguliza angalizo, naona imeshika wadau pabaya, sory kwa usumbufu uliojitokeza, kama bado marekebiso zaidi yanahitajika tuwasiliane

thanks
 
amejua kwamba yana mwisho baada ya kukutana na wakora wa mujini?????????

alipokuwa anakula mkate na kutupa mingine wakati anajua kuna masikini wamemzunguka hakujua kuwa yana mwisho pia?????????

alitaka kuwahi msibani kisha awasimange ndugu zake masikini walioshindwa kuhudhuria mazishi kwa kushindwa hata nauli tu kuwa "hawashiriki shughuli za kifamiliya" na yeye aonekane anapenda familia kuliko wengine?????

je alifikiria japo kumsaidia ndugu yake mmoja masikini nauli naye ashiriki msiba, au hakujua kuwa "yana mwisho" nayo???????

na mkome kuringa na vi-"usafiri binafsi vyenu"

Mkuu Akili KumuVufu (not kichwa)

Learn to sympathize with others - no matter what great MIND or THINKING you claim to posses it is inhumane to cheer when someone somewhere is in great pain! Wa-Kurd hawakufurahia kunyongwa kwa Saadam Hussein! This did not fix their FUNDAMENTAL problems - Hata hawa waliopora huyu jamaa na familia yake hawatasuluhisha MATATIZO yao - Hiyo njia siyo sahihi na wala sustainable by any chance...

Poleni kwa maswhaibu hayo - Naamini kama kila mtu atawajibika kwa nafasi yake aliyonayo haya yote yatafika mwisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom