Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Vita ya wasanii na mafisadi inazidi kushamiri kila kukicha, mwaka 2011 tuliona jinsi Anti-Virus Movement ilivyokuja kudai haki za wasanii kwa nguvu ya umma. Hata hivyo, mwenye pesa sio mwenzio na mafisadi walifanikiwa kuzima harakati hizo tena kwa kutumia mkono wa serikali. Hata hivyo, wanamuziki kadhaa wameendeleza harakati zao pamoja na harakati za Anti-virus kuzimwa. Tunaona msanii PeenLawyer alivyofanikiwa kwa kiasi kikubwa alipoamua kuleta mixed tape yake aliyoipa jina la Uswazi Mix tape inayokemea ufisadi katika muziki wetu.
Lakini nani hasa anayelaumiwa kuendekeza rushwa na ufisadi? wasanii amekuwa wakidai kuwa Clouds imekithiri kwa rushwa. Lady Jay Dee hivi punde tu amefunguka kupitia mtandao wa Twitter akidai kudaiwa rushwa ili ngoma yake ya JotoHasiraiweze kupata airtime. Lawama zote zinaonekana wazi kuelekezwa kulekule. Zoma tweets mwanadada Komando Lady Jay Dee aka Wallet hapa chini:
"Radio ya watu isiopiga nyimbo za wasanii wa watu ila za wasanii wao tu, wasiopendwa na watu. #JotoHasira"
"Anaedai kuianzisha bongoflava aliapa kuiua bongo flava. Sasa hata wasioijua Hiphop nao wana beef na Bongo flava! Damn !!"
"Kill me if u can. Am on Fire, siogopi ng'oooooo Jipangeni, Ni kweli nimelamba sumu, lakini hainidhulu. Nakunywa maziwa daily, I will survive".
"Hee! Kuna wajinga wanadhani nili tweet nikiwa nimelewa, nilimaanisha na msimamo ni huo. Sitasema oooh kuna mtu ka hack ac yangu nooo its me"
" Kuna DJ flani alikuwa akipiga nyimbo nilizoshirikishwa akifika sehemu nilioimba mimi anakata verse yangu nimtaje?? Sa hivi anakat ya Prof J"
LADY JAY DEE AWASHUKIA CLOUDS MAFISADI WA MUZIKI WA BONGO - Truth Well Told
Lakini nani hasa anayelaumiwa kuendekeza rushwa na ufisadi? wasanii amekuwa wakidai kuwa Clouds imekithiri kwa rushwa. Lady Jay Dee hivi punde tu amefunguka kupitia mtandao wa Twitter akidai kudaiwa rushwa ili ngoma yake ya JotoHasiraiweze kupata airtime. Lawama zote zinaonekana wazi kuelekezwa kulekule. Zoma tweets mwanadada Komando Lady Jay Dee aka Wallet hapa chini:
"Radio ya watu isiopiga nyimbo za wasanii wa watu ila za wasanii wao tu, wasiopendwa na watu. #JotoHasira"
"Anaedai kuianzisha bongoflava aliapa kuiua bongo flava. Sasa hata wasioijua Hiphop nao wana beef na Bongo flava! Damn !!"
"Kill me if u can. Am on Fire, siogopi ng'oooooo Jipangeni, Ni kweli nimelamba sumu, lakini hainidhulu. Nakunywa maziwa daily, I will survive".
"Hee! Kuna wajinga wanadhani nili tweet nikiwa nimelewa, nilimaanisha na msimamo ni huo. Sitasema oooh kuna mtu ka hack ac yangu nooo its me"
" Kuna DJ flani alikuwa akipiga nyimbo nilizoshirikishwa akifika sehemu nilioimba mimi anakata verse yangu nimtaje?? Sa hivi anakat ya Prof J"
LADY JAY DEE AWASHUKIA CLOUDS MAFISADI WA MUZIKI WA BONGO - Truth Well Told