Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Msiaaaaaache kuongeeeeaaaa... Lady Jay Dee...
Its official huyu sista HANA TASTE na kusema ukweli sielewi hiyo rangi nyekundu inafanya nini mle ndani.
Anyway
picha hizi hapa
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/02/nyumbani-kwa-nanihii.html#comments
Page not found
Sorry, the page you were looking for in the blog MICHUZI does not exist. Go to blog homepage
Home | Features | About | Buzz | Help | Discuss | Language | Developers | Gear
Terms of Service | Privacy | Content Policy | Copyright © 1999 – 2010 Google
Hakuna kitu bana!
m/mke heshima ukiitwa mama...nyumba kitu gani....
[/COLOR]
Wewe lazima ni M-Congo! La sivyo Kiwahili ulipata mswaki
MTM umenena vyema mkuu.
Umri bado anao Jide, so watu wanaokurupuka na kuanza kuropoka raha ya nyumba m'mke aitwe mama ni wapuuzi.
Kila kitu huenda kwa mipango, hata nyumba huanza na ramani, na si kukurupuka kama mpumbavu.
Na kuhusu swala la rangi pia ni wapuuzi wanaopinga.
Kwani iliandikwa wapi kwenye bible au msahafu kuwa nyumba ni lazma ipakwe ndani rangi ya blue, nyeupe au cream?
Hiyo rangi nyekundu angeipaka sanaa lathan, au salma hayek au angelina julie wabongo nyienyie mngekurupuka na kuanza kutafuta zinapouzwa
Ila kwa kuwa kapaka binti wa kizanaki basi mnajifanya kupinga...
Acheni ushambenga wanafiki wakubwa nyie
Samahani am just curious...Hivi huyu binti si mkurya? Jina la Wambura ni wakura hao. I might be wrong.
Ni mzanaki.
Kabila hili linapatikana mkoa wa Mara pia.