Mie nataka nane ila 6 siijuhi niambie ikoje mayb nzur
Inategemea na mwanaume na kiasi gani nimemzoea,mi naweza mwambia kwani hata akinikataa ndo nitaacha kupumua??? kuliko kupoteza muda na resources ukimfanyia kila aina ya njia akuelewe na bado awe hakufeel bora umwambie akupe ukweli maisha yaendelee.....huh!
Kumwambia anioe ndo tabu,ila kwamba nampenda hakuna neno kabisaaaa!
6 NAKUWA JUU CHEMBAMBAAAAAAAAAAAA chn ilooooo!!!!!!!!
EHH KUMBE NI MABATA MADOGO DOGO YANAOGELEA\/Rose nakuona na under 18 wako....unamfundisha mambo gani hayo?akikua atajua tu!!:bored::bored:
Angalia hicho kifaa kinakuchakachua humu ni nyumba ya sanaa hivyo kila mtu humu ni comedian!!nakushauri utafunte mbinu zingine!!hahaha rose bana, haya mbweta kifaa hicho
Nlikuwa naona kumbe ndo 6. Basi nataka 6 mieeeeeee
Angalia hicho kifaa kinakuchakachua humu ni nyumba ya sanaa hivyo kila mtu humu ni comedian!!nakushauri utafunte mbinu zingine!!
Shepu ya kinu!aah aah shepu kama simba dume mie ctaki
Samahani mchuchu wa mbweta!!lakini kama kaanza siko sorry nilikuwa napiga fundo la kesto nikapitia!!karibu yawezekana yupo hapa nilipo mmalize mzizi wa fitna!!kakakiiza mistak maneno na wewe ohhh!!
m seriouz na bzness sema tu nimeghairi!!!!
Yan humu kiboko kuna wavulana wamesign kama wasichana na kuna wasicha wamesign kama wavulana yan vululu
ndo nin kunambia nina shep km ya kinu?Samahani mchuchu wa mbweta!!lakini kama kaanza siko sorry nilikuwa napiga fundo la kesto nikapitia!!karibu yawezekana yupo hapa nilipo mmalize mzizi wa fitna!!
we vp bwana mbona unakuwa na iman haba km tomaso?
amini mimi ni mwanamke si mschana
nkubalie uone...au mtume mjumbe/mshenga aje akuchekie...
Nilikuwa nang'arisha nakupa sifa!!nimepewa kibarua je tukutane wapi fishfish??au nilipowakaribisha jana??we vp bwana mbona unakuwa na iman haba km tomaso?
amini mimi ni mwanamke si mschana
nkubalie uone...au mtume mjumbe/mshenga aje akuchekie...
Nilikuwa nang'arisha nakupa sifa!!nimepewa kibarua je tukutane wapi fishfish??au nilipowakaribisha jana??
Itabid aje kakakiiza kunichekia anipe ripot sitaki banio la ugali mana ninayo mengi, sitaki kinu kutwanga kazi, simba ndo naogopa, konyagi haramu.
Jamani mbona unanihukumu???mimi nimepewa kibali wewe unasema nisiaminike!sasa venue.?unamwamin uyo?
sawa.
ebu chek mdomo wake umekaa kubugia bugia kila kipitacho..ntasalimika?
mandhar unamwamini mi sna neno ntaenda akanifanyie assesment