Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi

" Nimekupa kila kitu na bado umeniacha?" Alisikika dada mmoja akilalamika Kwa mashemeji

JE wanaume?! Sentensi hii ukiiskia, huyu aliepewa kila kitu unamwelewa kweli?

Kwani wanaume hii sentensi ina maana gani ukiskia mwanamke analalamika hivi??
View attachment 2724296
Tofauti na ngono, mwanamke hawawezi kukupa kingine. Huu ndiyo uhalisia
Maisha ni zaidi ya ngono, unanikatikia kiuno halafu unasema umenipa vyote?
Ukinunua hata umeme wa 5,000 unasema umenikopesha na unataka hela yako.
 
Tofauti na ngono, mwanamke hawawezi kukupa kingine. Huu ndiyo uhalisia
Maisha ni zaidi ya ngono, unanikatikia kiuno halafu unasema umenipa vyote?
Ukinunua hata umeme wa 5,000 unasema umenikopesha na unataka hela yako.
mapenzi ya kweli je?
 
Hivi,ukikaa kwa utulivu kabisa na kujiuliza:Unadhani mwanamke anaweza kumpa nini cha ziada mwanaume zaidi ya papooch?Labda,kwa mbaaaalii,akinizalia watoto.Na hao watoto asiwabebee akili wamchukulie baba yao kama jamaa mpitanjia fulani.
mapenzi ya kweli
amekataa wanaume wote
amejitoa kwa msela
amepoteza muda nae
alafu msela amemzingua kamuacha!
huo ndio utulivu ninaoupata
 
Back
Top Bottom