BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,588
- 904
Sina hakika kama ni Moo labda anafanana Moo tuuu
Kha!kha!kha!!!,wee jamaa are you serious??.Yah ni kweli hiyo ni cross breeding ya John Cena
Wanakula chakula gani hao ngombe Watan2??maana c usawa wa tembo huo sasa???Haaaaaa..., wapo mfano hai ni Ubelgiji, ng'ombe ana uzito wa tani 2!
Wanakula chakula gani hao ngombe Watan2??maana c usawa wa tembo huo sasa???
Hivi ng'ombe kuwa hivi ni nini? Nimejiuliza sana nikaona nitafute msaada.Pengine naona vibayaView attachment 433282
Acha kupotosha umma mkuuNi mgonjwa- multiplication of cells. Ni cancer ya aina fulani kwa wanyama.