Jumanho
Member
- Sep 14, 2010
- 37
- 5
Nilichoelewa mimi ni kuwa Muheshimiwa Rais hakumkataza waziri wa ujenzi kundelea na bomoabomoa ila amemtaka kuwa na utu wakati wa zoezi hilo, kuangalia historia ya maeneo yatakayokumbwa ya bomoabomea hiyo na kuwalipa wale wanaostahili kulipwa, na asiangalie kuwa serikali itapata hasara tu kwa kuwalipa wanaostahili.
Mimi sidhani kama kwa hili pia rais alikosea.
Mimi sidhani kama kwa hili pia rais alikosea.