Wadau, nimeangalia shule moja yenye jina la Yusuph Makamba, na pale watoto waliopata zero wapo 314 (mia tatu na kumi nne)hivi; Unajua bwana haya mambo ya kutaja shule fulani majina ya watu fulani kwa 99% unawezaleta baraka au laana katika shule husika; Sasa ulitegemea uiite shule Yusuph Makamba afu watoto wafaulu!No way, lazima tu wangepata zero...kama alivyo mwenye jina! Sijatukana mtu jamani naomba comment yangu ichapishwe, asanteni, anayenipinga anipinge kwa hoja yenye nguvu...asomaye na afahamu
S1806 YUSUF MAKAMBA SECONDARY SCHOOL <H3>DIV-I = 2 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 113 FLD = 314
</H3>
S1806 YUSUF MAKAMBA SECONDARY SCHOOL <H3>DIV-I = 2 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 113 FLD = 314
</H3>