Ndugu wana JF,
Katika pitapita zangu za kutafuta matokeo ya kijana wangu aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana, sijui ni kwa bahati mbaya au nzuri nilikutana na matokeo ya shule moja ambayo ina namba za usajili S1806 inayojulikana kwa jina la Yusuf Makamba Secondary School. Matokeo hayo yalikuwa kama ifuatavyo (Summary):
Division 1 = 2
Division 2 = 4
Division 3 = 19
Division 4 = 113
Failures = 314
Hiyo ndiyo hali halisi. Sielewi kama matokeo hayo yana uhusiano wowote na somo wa hiyo shule.
Katika pitapita zangu za kutafuta matokeo ya kijana wangu aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana, sijui ni kwa bahati mbaya au nzuri nilikutana na matokeo ya shule moja ambayo ina namba za usajili S1806 inayojulikana kwa jina la Yusuf Makamba Secondary School. Matokeo hayo yalikuwa kama ifuatavyo (Summary):
Division 1 = 2
Division 2 = 4
Division 3 = 19
Division 4 = 113
Failures = 314
Hiyo ndiyo hali halisi. Sielewi kama matokeo hayo yana uhusiano wowote na somo wa hiyo shule.