notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
haaaaaaaah.. sasa mwaka 2015 mbona mbali saaaan.acheni wawalipe dowans, ili serikali ya ccm ijimalize, wanazani mpaka 2015 tutakuwa tumesahau kuwa 2011 waliwalipa dowans? Wale wazee wa afrika mashariki nao waanze kudai kwa nguvu haki yao
mission yenu ya kuhakikisha jamaa anaondoka kabla ya 2015 mmeisahau????
mbona hamueleweki au mnazuga???