La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
I also see the same....zamani walikuwa kama watu fulani wanajuana kila siku wanakutana hapo...sijui maana times change au ndio mtu wa Igo Lounge amekuja kivingine.
 
Back
Top Bottom