Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,047
- 32,457
Mapambano kule iko Waungwanasinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatar
Mapambano kule iko Waungwanasinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatar
Mtoa mada naona kachanganya madesa.na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
Zinachanganywa zote kwa pamoja? radha gani sasa ndo inatokea? Aisee jmos natafuta hilo chimbo miss chagga unipokeenyama ya kuku, mbuzi , samaki inaungwa fulani na pilipili
karibu .. hazichanganywi zote unaweza kuagiza makange ya kuku, ya samaki , ya mbuzi au ya ng'ombeZinachanganywa zote kwa pamoja? radha gani sasa ndo inatokea? Aisee jmos natafuta hilo chimbo miss chagga unipokee
Mnywe tu ila muangalie kuna kidimbwi pale msijechafuka tope!aisee yaan ww kwahyo na sisi ni madada poa tunaoenda kunywa
inawezekana Madame BMtoa mada naona kachanganya madesa.
Huyu nadhani anasema Waungwana na si La Chaaz, La Chaaz wala hakuna makaka po.
Makaka poa wakp Waungwana na Igo bar
Mambo vipi Mkuu?karibu .. hazichanganywi zote unaweza kuagiza makange ya kuku, ya samaki , ya mbuzi au ya ng'ombe
pouwa mkuu za kwakoMambo vipi Mkuu?
Fresh Mkuu!pouwa mkuu za kwako
Ok makange means kukaangwa or?karibu .. hazichanganywi zote unaweza kuagiza makange ya kuku, ya samaki , ya mbuzi au ya ng'ombe
hapna kama roast fulani hiviOk makange means kukaangwa or?
A very good question....ninachojua mimi Igo imefia kwa Chaz...maana Igo Lounge ni kama haipo tenakwan wewe mkuu umepajuaje?
I also see the same....zamani walikuwa kama watu fulani wanajuana kila siku wanakutana hapo...sijui maana times change au ndio mtu wa Igo Lounge amekuja kivingine.na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
hivi kwanini mungu still anaruhusu hawa mafirauni yawe matajiri il hali wanaomcha hata hayo magari hawagusi?sinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatar
kazi haramu lazma ilipe aseeehivi kwanini mungu still anaruhusu hawa mafirauni yawe matajiri il hali wanaomcha hata hayo magari hawagusi?
muwe mnakuja mjini hata mara moja kwa mwezi la sivyo utasimuliwa vingiOk makange means kukaangwa or?
yes indeedkazi haramu lazma ilipe aseee
igo sijaingia mda usiniambie imekufaA very good question....ninachojua mimi Igo imefia kwa Chaz...maana Igo Lounge ni kama haipo tena