TAZARA CLUB
Member
- Feb 6, 2007
- 48
- 15
Kwa kweli hii pub imekuja juu sana kibiashara lakini mambo yanayofanyika ndani huko ni balaa wadau hebu tusaidiane ili kuokoa dada zetu, biashara ya ngono iko juu sana pale
Kwa kweli hii pub imekuja juu sana kibiashara lakini mambo yanayofanyika ndani huko ni balaa wadau hebu tusaidiane ili kuokoa dada zetu, biashara ya ngono iko juu sana pale
weka picha
Dada sio under age ni wadada watu wazima, kimsingi sio kosa kwao kuwe[po pub, ili tatizo wana creat usumbufu wa wateja wasiona na interest na biasahara yao
iko maeneo gani!? Tabata kubwa mkuu
Sanene mkabala na kituo cha mafuta cha Cameliko maeneo gani!? Tabata kubwa mkuu
Umelipia tangazo?pasi changia hata jf
hahah mkuu za hapo ndio ziannoga ee?Nitafika hapo na mm kujionea hayo ndio maeneo ya kunywa beer aiseee haujui tu inaonekana ww ni mnywa soda
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
sasa hawa wadada inabidi nao wapewe mashine za EFD tuone ni kiasi gani pato la taifa linaweza kuboreshwa.
by the way hao kunguru pale wanakera sana, ghafla utawaona haooo na bodaboda. hicho ndio kilichonikimbiza FRISHA