Little-Lady
Member
- Jan 30, 2012
- 10
- 3
jamaa mmoja alikwenda kwenye mazishi ya jiran yake.maada ya kumzika marehemu ,watu bado walilia xana .axa jamaa yule alilia kuliko watoto wa marehemu .watu wakashangaa xana alivyoonahivyo akanyamaza.mwenzake wa pembeni akamwoliza ,;mbona umenyamaza kulia?jamaa akajbu nimeweka vibration.