Kwenu wataalam wa lugha

X-PASTER, naomba ufafanuzi wa maana ya hii sentensi "HAKU sikuwa mimi", hii HAKU ni jina la mtu au...? , kwa mimi ninayejua kiswahili cha mtaani na sio cha shuleni ningesema, "huyo sikuwa mimi" au "sio mimi", naomba unifahamishe hapa, sijawahi kusikia/kuona matumizi ya namna hii.
Huo msemo utumiwa sana na watoto wa kike kama nilivyo ahinisha hapo juu, kama wewe ukuwahi kusikia basi ni bahati mbaya, ipo siku unaweza bahatika kusikia.
 
Huo msemo utumiwa sana na watoto wa kike kama nilivyo ahinisha hapo juu, kama wewe ukuwahi kusikia basi ni bahati mbaya, ipo siku unaweza bahatika kusikia.
Unasikia sehemu gani au mazingira gani?
 
Je inawezekana ni aina ya "sheng" wanavyosema Kenya yaani lugha ya mtaani? Ni kawaida kwa lugha nyingi ya kwamba katika miji mikubwa aina mpya ya usemi inaanza.
Inawezekana ila nilisikia zamani ikitumika hivyo.
 
Back
Top Bottom