Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
naamka asubuhi najiandaa kwenda ktk mihangaiko yangu kama kawa najua najipatia kipato changu cha kila siku kama kawaida kinachofanya maisha yangu yaendelee kuwa supa
ni kwa nini bado ananifikiria..kama anajua kipati kipo kwanini asiache na mie niumize kichwa kama yeye anavyoumiza kichwa ???
AK 47..tutabanana hapa hapa
duh, leo umeamua kuwapa weekend wanaume .......... lakini mie najitoa, mwenzenu nainjoy sana huko "kupigika" wala sitaki kuonewa huruma...................
point yangu kubwa ni kuwa all the matter is a devine design nd so its accurate and exeleent.............. hakuna haja ya kuhurumiwa na hata wanawake hawapaswi kuhurumiwa kwa masuala ya uzazi bali kutiwa moyo ili waone kuwa ni shughuli ya pamoja hawajaachwa peke yao......................