Nimejaribu kumfuatilia huyu mbunge toka hajawa mbunge kweli nathubutu kusema nawapongeza wana ubungo kwa kuchagua mbunge makini na mpambanaji
Mnyika ni tingatinga
Kapitiwa kidogo tu alitaka kusema "Mnyika you are my hero" He is My Hero too!Wewe ndo mbumbumbu kabisa! Your my hero ndio nini!!!?
hata sisi tunaye hero..kapteni komba
limejaa mistari 2 hakuna k2 palehata sisi tunaye hero..kapteni komba
labda kwa kutunga nyimbo za marehemu.hata sisi tunaye hero..kapteni komba
Lile jembe kaka,ili na wewe uwe hero edit basi hyo thread kama great thinker.