Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Nov 1, 2010 #21 Naskia kule Ulanga wanakataa kivuko hewa cha Kikwete... Kwa kuwa kitasababisha Majambazi kuwavamia... Duuuh
Naskia kule Ulanga wanakataa kivuko hewa cha Kikwete... Kwa kuwa kitasababisha Majambazi kuwavamia... Duuuh
Tuko JF-Expert Member Jul 29, 2010 11,178 7,320 Nov 1, 2010 #22 Jamani Msituseme sana Morogoro. Tuna sababu ya msingi ya kuwa nyuma...
Meale Member Nov 24, 2009 91 0 Nov 1, 2010 #23 Jamani tusiwalaumu wakiona maeneo mengine yatakavyokuwa na wao watabadilika.