Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Maoni yangu hapo ni kuwa hizo ni PEAK na OFF-PEAK TARRIFS ambazo ziko dunia nzima kwenye huduma za simu,peak time mara nyingi watumiaji ni wengi haswa business calls ambazo ni muhimu kwa uchumi,ndio maana gharama huwa juu in order to deter leisure callers(at the same time subscribers wanamake more money)
but off peak inakuwa cheap kwa ajili kwasababu wapigaji wengi wakati huo ni watumiaji wa kawaida sio business callers.
Unachosema kuhusu "PEAK na OFF-PEAK TARRIFS ambazo ziko dunia nzima kwenye huduma za simu" siyo kweli kuna nchi nyingine rate ya off peak hours ni 24/7 ili kuvutia wateja wengi katika makampuni mbali mbali ya simu.