Kweli Mbowe anapewa nafasi kuongea, ananyimwa Jakaya? Nashauri familia hizi zikae zimalize bifu

JK ni nyoka,yaani alichomfanyia Lowassa,JK alitakiwa asiwe anaishi kabisa. I wish Lowassa angekuwa na Roho ya Putin aisee. Putin anaweza samehe yote ila si usaliti.JK alimsaliti mwenzake tena kamwita fisadi,akamkata jina kwenye Urais.Yaani JK aliharibu Destiny ya Edo kwa kweli.
Leo hili jambo limekutoa huko ulikofichwa? Lowassa alijiharibia mwenyewe. Angehimiza mabadiliko ya katiba na uchaguzi huru wakati akiwa CCM, wangeopa kukata jina lake kwa sababu wangejua akienda upinzani, atashinda.
 
Kupitia kifo cha Laigwanani lowassa najifunza kwamba.

Ukiwa ulitenda mabaya alafu ukapata nafasi ya kubadilika na kuanza kuwa mwema basi mioyo ya watu watasahau yale yote mabaya uliyowatendea na kisha watakusafisha wao wenyewe bila hata kama wewe haupo (umekufa)

Cc: Mshana Jr Pascal Mayalla
Ni unafki tu.......
Kama kuna mema aliwahi yafanya Lowasa basi ni akiwa CCM.
Hakufanya jambo lolote linalodeserve kusafishwa.
Alisafishwa kwa kuwa tu ni Mgombea, kama mtu hujifunzi chochote hapa kuwa tuna aina gani ya Wapinzani basi shida inakuwepo.
 
Kuyajenga sahizi ni kupoteza muda. Watu tunatakiwa kuwa wakweli wa nafsi zetu. Kilichopo moyoni ni vema kionekane katika matendo.

Kwa matendo yake, Kikwete alidhihirisha ni adui mkubwa wa marehemu Lowasa. Lowasa hakuhitaji upendeleo wala fadhila, alistahili tu kutendewa haki, na Kikwete alisimamia kuhakikisha Lowasa anadhulumiwa, hapati haki. Kikwete ndiye aliyemnyima haki Lowasa na wajumbe wa mkutano mkuu wasipate nafasi ya kumpigia kura Lowasa. Na hata alipogombea upinzani, ni Kikwete aliyehakikisha Lowasa na Maalim Seif hawatangazwi washindi wa uchaguzi licha ya ukweli kwamba wote walushinda. Kikwete aliendeleza uharamia na ushetani wake, hata kuamua kuvamia ofisi za timu ya Lowasa iliyokuwa ikijumlisha kura zake aluzozipata nchi nzima. Wakapora computer zao, na kuwarundika mahabusu wajumlishaji wasio na hatia. Kwa unyama alioutenda, tunamwombea laana zote mdhulumaji na mnafiki Kikwete

Kama Kikwete angekuwa japo na chembe ndogo sana ya utu, pamoja na unafiki wake, angepiga kampeni ya wazi na ya siri ili wajumbe wa mkutano mkuu wasimpe kura Lowasa, lakini kwa vile alijihakikishia kuwa uwezo huo hana, akaamua kutumia ushetani wa moja kwa moja.

Anayefanya matendo ya kishetani, maana yake amebeba roho ya shetani. Kutafuta suluhu na mtu huyo, ni kutafuta suluhu na shetani. Labda kwanza Kikwete atubu moyoni na kwa uwazi uovu ule alioutenda, halafu familia na jamii nxima imsamehe ili apate msamaha wa uovu wake kwa Mungu. La sivyo hiyo dhambi na uovu wake, ataishi nao, atatembea nao, na ataingia nao kaburini sikubyake ya mwisho.


Kikwete siku yake ya mwisho ikifika, uovu wake huu usikose kusemwa ili usindikize vizuri matanga yake.

Tatizo mnachukua vita ya kisiasa na kuiweka kwenye maisha ya kawaida

Jk alikuwa sahihi kabisa, na pia ujue hata kama jk angetaka lowasa kuwa Rais yy hakuwa mtu wa kutoa uamuzi wa mwisho

Ishu ya urais wa inchi sio ishu ya Rais aliekuwepo madarakani kuamua
 
Hakika kila mwenye Macho haambiwi tizama

Ili tukio ni la kwanza kutokea

Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya nje.

Halafu mniambie amehuzunika mpaka akashindwa kuongea kwa Waziri Mkuu wake aliyefanya nae kazi Ikulu kwa miaka 2.
Mwenye msiba ndiyo huamua alie kilio na nani

By the way kuongea kuna tija gani? Kungemrejeesha marehemu?
 
Hakika kila mwenye Macho haambiwi tizama

Ili tukio ni la kwanza kutokea

Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya nje.

Halafu mniambie amehuzunika mpaka akashindwa kuongea kwa Waziri Mkuu wake aliyefanya nae kazi Ikulu kwa miaka 2.

Ni dhahiri familia hizi mbili kuna jambo haliko sawa na ni vyema familia hizi zikutanishwe zijajenge bifu liishe.

Leo Hii ni kweli Jakaya haongei lolote? Leo hii yule mtoto wa Jakaya Yaani Ridhwani wa kutokwenda kumzika Rafiki kipenzi wa Baba yake.

Kumbuka Ridhiwani ndo alienda chumbani kumuita Baba yake yaani Jakaya kumwambia Sebuleni kuna wageni ambao walimpelekea salamu za baraka za kugombea Urais.
Hamna jema.
Akipewa nafasi ya kuongea nongwa, asipopewa nongwa tena.

Juzi tu hapa aliongea watu mkatokwa povu humu eti bora anyamaze tu.
 
Hakika kila mwenye Macho haambiwi tizama

Ili tukio ni la kwanza kutokea

Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya nje.

Halafu mniambie amehuzunika mpaka akashindwa kuongea kwa Waziri Mkuu wake aliyefanya nae kazi Ikulu kwa miaka 2.

Ni dhahiri familia hizi mbili kuna jambo haliko sawa na ni vyema familia hizi zikutanishwe zijajenge bifu liishe.

Leo Hii ni kweli Jakaya haongei lolote? Leo hii yule mtoto wa Jakaya Yaani Ridhwani wa kutokwenda kumzika Rafiki kipenzi wa Baba yake.

Kumbuka Ridhiwani ndo alienda chumbani kumuita Baba yake yaani Jakaya kumwambia Sebuleni kuna wageni ambao walimpelekea salamu za baraka za kugombea Urais.
Huyo unayemtetea anaona aibu hata kutaja jina la marehemu. Angejaribu kusimama wangemzomea. Watu wa chuga wanakupa za uso bila aibu. Bora alishtuka akakataa kupewa nafasi. Watu walinipanga kuzomea.
 
Kuyajenga sahizi ni kupoteza muda. Watu tunatakiwa kuwa wakweli wa nafsi zetu. Kilichopo moyoni ni vema kionekane katika matendo.

Kwa matendo yake, Kikwete alidhihirisha ni adui mkubwa wa marehemu Lowasa. Lowasa hakuhitaji upendeleo wala fadhila, alistahili tu kutendewa haki, na Kikwete alisimamia kuhakikisha Lowasa anadhulumiwa, hapati haki. Kikwete ndiye aliyemnyima haki Lowasa na wajumbe wa mkutano mkuu wasipate nafasi ya kumpigia kura Lowasa. Na hata alipogombea upinzani, ni Kikwete aliyehakikisha Lowasa na Maalim Seif hawatangazwi washindi wa uchaguzi licha ya ukweli kwamba wote walushinda. Kikwete aliendeleza uharamia na ushetani wake, hata kuamua kuvamia ofisi za timu ya Lowasa iliyokuwa ikijumlisha kura zake aluzozipata nchi nzima. Wakapora computer zao, na kuwarundika mahabusu wajumlishaji wasio na hatia. Kwa unyama alioutenda, tunamwombea laana zote mdhulumaji na mnafiki Kikwete

Kama Kikwete angekuwa japo na chembe ndogo sana ya utu, pamoja na unafiki wake, angepiga kampeni ya wazi na ya siri ili wajumbe wa mkutano mkuu wasimpe kura Lowasa, lakini kwa vile alijihakikishia kuwa uwezo huo hana, akaamua kutumia ushetani wa moja kwa moja.

Anayefanya matendo ya kishetani, maana yake amebeba roho ya shetani. Kutafuta suluhu na mtu huyo, ni kutafuta suluhu na shetani. Labda kwanza Kikwete atubu moyoni na kwa uwazi uovu ule alioutenda, halafu familia na jamii nxima imsamehe ili apate msamaha wa uovu wake kwa Mungu. La sivyo hiyo dhambi na uovu wake, ataishi nao, atatembea nao, na ataingia nao kaburini sikubyake ya mwisho.


Kikwete siku yake ya mwisho ikifika, uovu wake huu usikose kusemwa ili usindikize vizuri matanga yake.

Vyama vya upinzani vitambue umuhimu wa kulinda vituo vyao vya kujumlisha kura. Mnaweka ulinzi wa kutosha tena wenye silaha, pia kuchukua live coverage ya hilo eneo. Ili mvamizi akija ijulikane moja tu. Sio kukamatwa kama kondoo wakati mnapambania haki.
 
Back
Top Bottom