sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hakika kila mwenye Macho haambiwi tizama
Ili tukio ni la kwanza kutokea
Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya nje.
Halafu mniambie amehuzunika mpaka akashindwa kuongea kwa Waziri Mkuu wake aliyefanya nae kazi Ikulu kwa miaka 2.
Ni dhahiri familia hizi mbili kuna jambo haliko sawa na ni vyema familia hizi zikutanishwe zijajenge bifu liishe.
Leo Hii ni kweli Jakaya haongei lolote? Leo hii yule mtoto wa Jakaya Yaani Ridhwani wa kutokwenda kumzika Rafiki kipenzi wa Baba yake.
Kumbuka Ridhiwani ndo alienda chumbani kumuita Baba yake yaani Jakaya kumwambia Sebuleni kuna wageni ambao walimpelekea salamu za baraka za kugombea Urais.
Ili tukio ni la kwanza kutokea
Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya nje.
Halafu mniambie amehuzunika mpaka akashindwa kuongea kwa Waziri Mkuu wake aliyefanya nae kazi Ikulu kwa miaka 2.
Ni dhahiri familia hizi mbili kuna jambo haliko sawa na ni vyema familia hizi zikutanishwe zijajenge bifu liishe.
Leo Hii ni kweli Jakaya haongei lolote? Leo hii yule mtoto wa Jakaya Yaani Ridhwani wa kutokwenda kumzika Rafiki kipenzi wa Baba yake.
Kumbuka Ridhiwani ndo alienda chumbani kumuita Baba yake yaani Jakaya kumwambia Sebuleni kuna wageni ambao walimpelekea salamu za baraka za kugombea Urais.