siitaji msaada wowote potelea mbali litakalonikuta
sina la kufanya tena mkuu we subiri utaonaYou can't be serious Smile....hebu smile kwanza, halafu shusha glass ya maji hapo ushushe pumzi then futa hiyo universal principle yako ya vijana
Bado hujastahili kufikia hapo, naona umejilazimisha kufikia huko
sina la kufanya tena mkuu we subiri utaona
love? there is no love in this word sis
nimechoka nimechoka kwani mimi nina kosa gani bwana?Me naogopa kuona bana, hebu ishia hapo hapo usiendelee huko mbeleni nisije nikalia bure
C'on my dear, come to your own senses, tulia heal yourself and be positive kisha utajitambua kuwa wewe ni wa thamani zaidi hata ya hayo mawazo unayojiwazia......khaaaa!1 yaaani mdada mzuri kama weye eti kwa jibabu fulani la jibibi fulani...akhuuu, sikubali, haifai kabisa
hayupo ananipenda nimechoka bwana kweli nimechokaSmile, hebu kwanza jirejeshe katika avatar yako - Smile - Tabasamu: Kutababsamu kunaufurahisha moyo na kuifanya siku iwe nzuri. Sio vizuri kuianza siku na wiki ukiwa umenuna.
Iwe kijana au kibabu, ikiwa wote hawana mapenzi na wewe, hawakustahiki. Vijana watakudanganya na kukuahidi mambo milioni; vibabu watakuwa wanakunua. Utu wako hauuzwi kwa thamani yoyote ile. Wote ni mabazazi. Wote wanastahiki jawabu moja tu: NO! I'm Smile and my Smile will lead me to the correct way". Amini kuwa penzi la kweli lipo na lipo kwa ajili yako. Achana nao, subiri, yupo akupendae!