ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
kwani akiwa na skafu ya ccm na kukaa na watu wa chadema atameza sera na mikakati ya ccm??? Kama kweli walichoma skafu basi ni wapumbavu wa kutupwa, tanzania haistahili kufika kwenye hizo siasa za matundu ya chooni!!!
umenena mkuu