Kwanini Yanga hawajasajili?

Bukoba Finest

JF-Expert Member
Jul 13, 2023
250
314
Leo baada ya TFF kutoa takwimu ya timu ambazo zimesajili wachezaji ( CAF). Watu wengi hawakuelewa baada ya kuona Yanga wameandikiwa HAWAJASAJILI.

Ipo hivi Yanga ameishasajili wachezaji kwa maana ya kufikia makubaliano baina ya pande zote mbili (Team na mchezaji).

Kilichobaki ni kuwasajili hawa wachezaji kwenye mfumo wa TFF na CAF kwaajili ya kushiriki Klabu Bingwa barani Afrika msimu ujao.

Kwanini Yanga hajawasajili mpaka sasa? Deadline ni tarehe 30 kwa maana bado siku kumi Yanga bado ana muda wa kuwafanyia assessment wachezaji wake kabla ya kuwasajili kwenye huo mfumo ili kujihakikishia anasajili wachezaji ambao wameonesha uwezo wa kiushindani katika michuano hiyo.
IMG-20230720-WA0000.jpg
 
Wale jamaa kweli ni nyani watupu. Wanakwama wapi kumlipa kocha Mbelgiji ili maisha yaendelee? Hivi yule Eng.Hedhi mwenye kichwa kama amevaa kapelo hana akili kiasi hiki?
Wewe ndio nyani ila huoni kundu lako Fontain gate na Kitayose walifungiwa tuliona press release kutoka TFF ili kudhilisha wewe sio nyani huoni kundu lako tuonyeshe barua toka reliable source kua Yanga kafungiwa na utuambie hao wachezaji wanao tanganzwa watacheza timu gani
 
Wewe ndio nyani ila huoni kundu lako Fontain gate na Kitayose walifungiwa tuliona press release kutoka TFF ili kudhilisha wewe sio nyani huoni kundu lako tuonyeshe barua toka reliable source kua Yanga kafungiwa na utuambie hao wachezaji wanao tanganzwa watacheza timu gani
Na hata usipomkumbusha hayo yote, kwani wao machawa Fc wamesajili wachezaji 24 kwenye hili dirisha?
 
Back
Top Bottom