Ni muda mrefu sasa Wizara ya Elimu imekuwa ikiteua wakuu wa Vyuo ambao ni Wazee na wengine walishastaafu. Je kupeana ulaji au hakuna wengine wanaoweza kuongoza? Anapoteuliwa Mkuu wa Chuo ambaye alishastaafu ataendeleza Chuo au kutafuta fedha ya kula Uzeeni. Umefika wakati sasa Waziri wa Elimu afikirie uteuzi wa Vijana na Walio katika ajira katika uteuzi wa Wakuu wa Vyuo mbalimbali Nchini. Ni wazo langu, wadau mnaseje?