Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
- Thread starter
- #21
4. Ina maana siku nzima hujapata sms?? Kama ndio, kwa nini?? Kama hapana... zimeenda wapi?
teh teh teh teh duuuuuh hiiiyo kali mkuuu hapo lazima tu ndoa ikushinde sasa na turisha wahi sema thread ya simu ni kuna umuhimu wa wewe usome sms,na vitu vingine kwa simu ya mmeo au mkeo? hii ni kuwekeana pressure bandugu,
i dont dare touch my wife's phones at all, ni mazoe mabaya sana na sio mazuri and she does the same