dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,406
- 15,988
Kwanini hizi degree za heshima zinazotolewa na vyuo vya nje mbona haviwapi viongozi wao waandamizi wa taifa lao badala yake inawaita viongozi wa Africa na kuwapachika u Dr wa michongo. je kwanini haviwapi viongozi wao?
Nakumbuka Kipindi kikwete akiwa namba Moja aliitwa na chuo kikuu Cha kilimo Cha China na kumpachika u Dr na Hadi SASa amedumu nao Kama Dr jk ,sijui vigezo gani walitumia ila walisema Ni kutokana na ku transform kilimo kikawa Cha kisasa Hadi alivyo Rudi kutoka uchina akaja na gia ya kilimo Kwanza Kisha akagawa vitalu vya gasi vyote kwa wachina na hadi hv Sasa vinamilikiwa na wachina
Sasa najiuuliza kipindi hicho kikwete anakwenda Huko mbna hakwenda na mawaziri 9 kama.alivyo fanya mdogo ake Samia alivyo ambatana na nusu ya baraza la mawaziri pamoja na maofsa mbali mbali wa serekali yake .Hadi na kina Steve ake nae ame ambatana na rais Samia kwenda India ..kwangu mm huu ni uhujumu uchumi
Ni vyema viongozi wetu wakajitadhimini kwa safari na hizi degree za heshima wanazo pewa huko kama zina Tija au la vinginevyo wangewaita watoa degree kufika dodoma chamwino na kumpachika degree yake ya heshima na Hakuna angelalamika
Kwa Sasa Niko safarini kuelekea
Mabibo DSM
I wish I could be a president Kuna watu /vikundi vya watu vingetezeka Sana
Pia Soma:
- Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru chamtunuku Rais Samia Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa), leo Oktoba 10, 2023
Nakumbuka Kipindi kikwete akiwa namba Moja aliitwa na chuo kikuu Cha kilimo Cha China na kumpachika u Dr na Hadi SASa amedumu nao Kama Dr jk ,sijui vigezo gani walitumia ila walisema Ni kutokana na ku transform kilimo kikawa Cha kisasa Hadi alivyo Rudi kutoka uchina akaja na gia ya kilimo Kwanza Kisha akagawa vitalu vya gasi vyote kwa wachina na hadi hv Sasa vinamilikiwa na wachina
Sasa najiuuliza kipindi hicho kikwete anakwenda Huko mbna hakwenda na mawaziri 9 kama.alivyo fanya mdogo ake Samia alivyo ambatana na nusu ya baraza la mawaziri pamoja na maofsa mbali mbali wa serekali yake .Hadi na kina Steve ake nae ame ambatana na rais Samia kwenda India ..kwangu mm huu ni uhujumu uchumi
Ni vyema viongozi wetu wakajitadhimini kwa safari na hizi degree za heshima wanazo pewa huko kama zina Tija au la vinginevyo wangewaita watoa degree kufika dodoma chamwino na kumpachika degree yake ya heshima na Hakuna angelalamika
Kwa Sasa Niko safarini kuelekea
Mabibo DSM
I wish I could be a president Kuna watu /vikundi vya watu vingetezeka Sana
Pia Soma:
- Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru chamtunuku Rais Samia Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa), leo Oktoba 10, 2023